nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,273
- 3,750
shem mbishi! Sijaonaga.
Inawezekana macho hayakuona ila mikono inajua sura yake
shem mbishi! Sijaonaga.
Tena kabisaaa ! With capital leters KABISAAA !
Mbona una vijichembechembe vya kutoniamini ?
Bado sijaiona.
kinachoongelewa hapa sijakiona amy. Mzima wewe? Mpatanishi anakutafuta.
Mi mzima mwaya, halafu kinachoongelewa hapa nimekiona ila kinatisha kidogo bora hujakiona!
Mpatanishi utamuweza basi, kashindwa masharti sijui katokomea wapi!
Kama nshakuona unamlilia naniliu... Unamjua mwenyewe. Ustake nimtaje.
niliipenda coz ilikuwa tamu..mpaka sasa nashindwa kuiacha..
Yaani nkikwambia hapa nlipomkuta b52 hapatatosha.. Wacha nimezee..
Ukimtaja kwa herufi moja ya kwanza tu ! Nakuahidi zawadi
" a gift of the year"
Nakutajia three letters, moja wapo itakua ndo yenyewe.. Sawa?
Mbona maandalizi ya kutaja yamekua mareeeefu ! Wkt ushaambiwa sanua,
au domo limejaa mate !
Huna lolote ! Ikulu haipigwagi mkwara !
Mbona maandalizi ya kutaja yamekua mareeeefu ! Wkt ushaambiwa sanua,
au domo limejaa mate !
Huna lolote ! Ikulu haipigwagi mkwara !
....siku ya kwanza kuiona...ilikuaje?
mwanangu sio domo bali ni "DOLE GUMBA LAKE"