hahahha....mm mwisho wa kutongozwa ni jana asee..hawa watu wanajua askwambie mtu...Halaf cjui nnamkos gan mana wanaonielewaga wote ni vyuma ...sema sasa tatizo linakuwaga ni wakibwa kuliko mm hapo ndo naanza kiwaza....mamaz kiaina znashobo ile mbaya...hasa fb mtandao una wadada hawana aibu ule....messenger wanakuja kukupiga swaga kabisaaaaa....kna maza alnielewaga alianz kma urafiki na mm..akanambia nmuite dada,baas bana tkazoeshana vile.sku 1akanambia mdogo wng njoo ukitoka field njoo unpitie hapa job mana alkuw ni muuguzi hospital flan hiv dar stoitaj..ilkuw ni mwaka jana, baas mzebaba nkajikok natoka field saa tisa hiv nkaruka chap.nakmbk nlkie na njaa balaa, nlvyfik aknambia nsbr kdoog baas alvymaliz aknambia ywende zetu baas, kumbuka alkuw anakaa karb na maeneo nnayokaa mm nandoman nkazid kuweka iman kwake, baas bhn tjapyia sehem 1 hiv ebana weee...nlkula kinoma na stor za kuzuga za kiheshima mana ni kama sister wng tu...nkiwek na mbwembwe zng za stor za kchkesha ili nsionkane naboa....baas hhn nkashangaa ananiuliz dogo unapiga bia?[emoji848] nlishangaa kidog nkamwambia sisyer sjawah waza hiyo kitu asee na ukiagiz hata yko ntaondok mm muislam swafi bhn...akachek sana...baas bhn tnakula huku redbull ikinikuna koo.....tkamaliz ajnambia dogo twenzetu bass nkusndkz mpk karb na kwenu mdg wng mana alkuw na gari nkamwambia powa...kweny gar ilkuw stor za biashar tu mana anaonkn anahela alaf mshkaj nasoma business nkawa nampa mambinu ya biashara baas safar ijawa ya maana huk aknisif mdog wng ww smart sana..bas akniuliz nkplek mpk kwen nkapajue? nkagoma baas bhn kabla ya kushuka akanipa elf 50 huhuhuu[emoji39][emoji39] duuh dogo umnip mchng mkubw wa kimawaz hii ni kma shkraan daah mfk ulkuw emoty nkaon bora ata nmpat ya kutngnezea oc yng na kzurulia...baas bhn nkakaa kma cku 3 hiv akanitext dog kimya sana asee...baas tkaw tnachart nodmal tu....mwez wa 10 mwak jana nloost pich fb nlshngaa kweny comment akacomment mume[emoji848]mmmh nkaingia messenger kmbuk hata namb yje nlkuw sna tnachartg messenger tu..nkmwambia umkosea kuandk nn kweny comment...alcheka sana...aknambia ok anyway...una lios nzur sana ujue, natman ningkuw na mdog wng ningkupa asee sema sina asee ila naon bado mamb yatkaa sawa tu...umri si kikwaz mana hata mtume alioa mwanamk alomzid umri...ckwambii unioe...bt nioat chance tu ya kuwa na ww kimapmz please cjui hata nn nakiandika ila elewa tu umeuyeka moyo wng suma, najikuta tu nakonda na kuzuia hisia swez anglau ningkuw na mdog ningkup sema sina sasa..naomb nichkuwe nafas hii mm..mm si suger mummy najua utawaza hilo wala si malaya ni mtu na heshma zangu..sema yanapofika shingon lazma uoige yowe la msaada..ni hilo tu...olease uskrpul knijib hata kesh utanijib najua ww muelew na msomi mtu akiwa kweny situation kma hii unajua nn anamaanisha...nkutakie usk mwema mda umeenda sana kesho nnazam morn....baas nkazngua nkamwambia never...eeebana wee nljuw kma adui vle mana kila kukicha ni lawama tuuuuu dogo ushawah ona mwanamk abamtngz mwanaum una bahat dog unaichzea,kwan dogo ushawah ingia hotel or ndo unaishiaga lodge tu[emoji23][emoji23]....ntkulipia mm, na ntakulipa hata ukitaka,daa jidada la watu lile mpk nahis alkuw ni chiz lkn laaah......baas ndoivo bhn....wapo weng sana kama hawa asee...unapigwa swaga mpaka unakaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nmechoka kuandika asee
Sent using [Samsung galaxy s10]