Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,759
Wakishiba huwa wanatongoza hatari!
Nimeicopy, naenda kuwapestia macrush zangu woteNaomba unisamehe kama nitakua nimekukosea,nimevumilia nimeshindwa,nakupenda".
Ahahaha kijana contena la mama salma lilikutisha!!Wakati huo festi year wakati wa presentaions kuna dada akawa ananipiga maswali balaaa. Baada ya pindi kutoķa akanifata akaniambia samahani kwa maswali then naomba namba yako it seem your see deep kwenye hili somo.
Kumpa namba then akniambia ananipenda. Niliogopa saana maana kipindi kile home waliniamba kila bint wa chuo ameathirika. Watoto wa mama salma.
Nilikuwa mjinga inshort
Sent using Jamii Forums mobile app
Demu akiwa anaropoka ropoka mbele za watu, huwa nampotezea tuu...nishapotezea wengi tuu.Ni ngumu sana kumkataa dem akikutongoza
AhahahahNimeicopy, naenda kuwapestia macrush zangu wote
Hawakupigi voko kwa kukukazia macho, utaambiwa kwa upole na mahaba hadi utasahau kusema NO (kama utakua huko makini)mwanaume unapigwa voko . I can't imagine .siyo mbaya ila naimagine ile situation
Unajishaua!!Demu akiwa anaropoka ropoka mbele za watu, huwa nampotezea tuu...nishapotezea wengi tuu.
Team selective!!
Kivipi mbona mimi mshamba hapoWakishiba huwa wanatongoza hatari!
Yaaani jambo Kama hili wanalileta hukuDuhhh....
Nimejikuta nasikitika kwa jinsi vijana wa sasa mlivyo kosa koromeo.
Sent using Jamii Forums mobile app