Siku ya kwanza kutongozwa na demu

Siku ya kwanza kutongozwa na demu

long live my love

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2014
Posts
1,083
Reaction score
1,037
Wakuu karantini challenge inaendaje.

Moja kwa moja kwenye uzi,nakumbuka mwaka 2012 nikiwa Dar mwezi wa nane nimemaliza chuo tumeagana na masela mabibo hostel nimeenda kwa dingi mkubwa kimara mwisho.

Pale kulikua na pisi nalo limemaliza chuo huyo home kwao katika pitapita tukaonana na kuongea mawili matatu. Kumbe mwenzangu kashazimika,daaaa.

Mtoto akanifuatilia kwamba nina tabia ya kwenda night club flan mwenge,siku ile tumeonana mimi nikaona niombe japo hata namba ili asinione fala japo nilokua sijamkubali kivile.

Mtoto rangi adimu,jicho jeupe peee nikawaza nimtokee? Asije nikataa nikaaibika mtaani hapa. Mzee nikaendelea na mishe zangu.

Siku ya siku naona katuma sms hata sijui namba yangu aliitoa wapi maana mimi nilichukua yake mimi sikumpa. "Naomba unisamehe kama nitakua nimekukosea,nimevumilia nimeshindwa,nakupenda".

Jamani asikwambie mtu nilijisikia aibuuuu... Nikajiuliza nijibu vp? Huyu ni demu wa kawaida au malaya?

Nikajisemea moyoni,mbona nitaonekana boya kutomkubalia. Nikamjibu " Asante kwa upendo wako mrembo,kusema kweli nilikua nakufanyia timing tu".

Tukaja kuachana 2015 nilipota ajira Arusha,mtoto faithful kinoma halafu mtamu hatari. Nasikitika kumhisi malaya mwanzoni. Wanawake nao wanapenda jamani tuwape nafasi ya kutuambia ...
 
Hahaa. Wakati niko high school kuna mdada alinifuata nyumbani. Alipiga hodi, akaingia sebuleni, akawaambia nina shida na KANA. Nikaitwa, akanitoa nje, akanipiga 'vesi' hehee. That girl was something else!
 
Wakati huo festi year wakati wa presentaions kuna dada akawa ananipiga maswali balaaa. Baada ya pindi kutoķa akanifata akaniambia samahani kwa maswali then naomba namba yako it seem your see deep kwenye hili somo.

Kumpa namba then akniambia ananipenda. Niliogopa saana maana kipindi kile home waliniamba kila bint wa chuo ameathirika. Watoto wa mama salma.

Nilikuwa mjinga inshort

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Duh hayoo yalikuwa yanikuta kipindi Cha five six na chuo. Mpaka nikazoea bahati mbaya hamna Mwanamke niliwai mkataa wawili walikuwa bikra mpaka leo Mambo Yale Yale Wako kwenye ndoa lakini wanataka mimba. Dhambi nshafanya Sana ila hiyoo hapana.
 
Back
Top Bottom