mimi mpatja leo ninamiaka 27 nikikuta m2 dukani simezi nunua mpaka waishe na siwezi nunua mitaa ya nyumbani kwa mfano mimi naishi mkuu rombo condom nanunua mamsera au mwika
Hahah mi kiwembe tu nakigugumizi sembuse hiyo kitu.
Mimi niliwahi kukuta wamama watatu wanapiga story tu pharmacy na hawana dalili za kuondoka
wamekaa kwenye viti......nikauliza Ribena ipo?akasema hakuna...huyoo nikaondoka
Hahahaaaaa...
Usicheke ungeniona usingenishauri niulizie condom
manake muuzaji ndo alikuwa anawapigisha wenzie story
so mimi kuingia tu akanyamaza...kukawa kiimya kabisa
wote wananitazama na dada akaniambia nikusaidie nini....
yaani ilitakiwa niseme condoms huku wote watatu wananitazama..
ujasiri huo mgumu sana
Sijawahi kununua condom hata siku moja.
hahahahaha!!!!!!!Nakumbuka Mimi siku ya kwanza nilimtuma mdogo wangu Akaninunulie akaenda sasa Aliporudi Akanikuta nimekaa na Mama pamoja na Dada Zangu sasa yeye badala ya kuuchuna Yeye si Akanipa kwa kunirushia nilipotaka kuzidaka nikazikosa zikaanguka chini na kutoka kwenye kalatasi.. Nilitimua mbio huku nikiacha songombingo kwa dogo
Dah nmecheka mpaka majiran wakastuka kuulizia kunani huko?. Mm km wewe tu, japo mm nilinunua nying tu ilipofika usiku nikaenda toilet nikaanza kujifunza kuvaa, nakumbuka niliziharibu km 3 na kubakiwa nazo 3 zngne ndpo nikaenda kukutana na huyu mdada. Kununua condom duka ambalo lpo bize(wateja weng) kunahitaj moyo mgumu, nilipanda daladala kuelekea mtaa nisiojulikana ndpo nikanunua kwa ujasili. Shda tupu hayo mambo!
Hahaha.!! kaka umenifurahisha sana, I did the same.. mi nilienda pharmacy sikukuta watu nikamwambia jamaa naomba dume, nilinunua pakiti 3 , pakiti mbili nikafanyia mazoezi ya kuvaa. hahaha