Hongera mwaya kwa kujijali kiafya na kuepuka neno la "ninge" lisikusumbue maishani.
Mimi kiukweli na sarakasi zangu kibaao mpk leo ila sijawahi kbsaaaa nunua narushaga mpra upande wa pili kwa kumwambia uje nayo mimi ninamambo mengi.....
Nilikuwa Class 6
Nilienda nikamkuta Mmama yupo nikamwambia nimetumwa condom naenda fanyia experiment shule, akanipa nikaificha....
Hata hivyo sikuitumia ipasavyo,
Asubuhi na mapema nikaitupa nikiwa naenda school
Hahaha mkuu umenikumbusha mbaliii! Mimi nilifika kwenye duka nikawa nacheka tuu! Hapo nakuna nywelee kichwani! Si demu mwenyewe akaja hapohapo kwa duka! Weee sikununua na kuagiza pipi ya kifua na kutimua!! Zoezi nililianza bila ya Cdm siku hiyo!
Uliigeuza nn mkuu??
Mabadilikooo....
Ah no nime-mistaken kidogo, Vp Mkuu Analyse...
Daaaa mi hiyo kitu sijawahi kukutana nayo yaani kokote niliko lazima zana iwepo...!
Yaani hata hapa nilipo sasaivi napata kistua tumbo lakini zana haikosekani karibu.
Narudi zangu Jukwaa la siasa naona kule mambo yamepamba moto balaa.
Halafu one thing, sina mda mwiingi tangu nijiunge JF lakini kwa mada kama hii sidhani kama Mr. The Boss atachangia kama alikuwahi au hakuwai kuuza mechi..
Huyu mtu anajiheshimu sana. Nafkiri hukumtendea haki kumtag kwenye mada kama hii.
Anyway ni mtazamo wangu tu.
Dah nmecheka mpaka majiran wakastuka kuulizia kunani huko?. Mm km wewe tu, japo mm nilinunua nying tu ilipofika usiku nikaenda toilet nikaanza kujifunza kuvaa, nakumbuka niliziharibu km 3 na kubakiwa nazo 3 zngne ndpo nikaenda kukutana na huyu mdada. Kununua condom duka ambalo lpo bize(wateja weng) kunahitaj moyo mgumu, nilipanda daladala kuelekea mtaa nisiojulikana ndpo nikanunua kwa ujasili. Shda tupu hayo mambo!
Tukiwa katika tukio kumbe mwanaume haujui namna ya kuvaa condom,ikabidi nimvalishe mbili
Kwa mara ya kwanza nilishangaa mbona hafananii au anajaribu aone!!! lakini niliona kabisa mambo yetu si mta
Tukiwa katika tukio kumbe mwanaume haujui namna ya kuvaa condom,ikabidi nimvalishe mbili
Kwa mara ya kwanza nilishangaa mbona hafananii au anajaribu aone!!! lakini niliona kabisa mambo yetu si mta