Siku ya Kwanza Kumnunua Malaya

Siku ya Kwanza Kumnunua Malaya

Yeees. Alikua anakaa mwananyamala. Mi nilikuaga nakutana nae salon flan hivi iko barabarani kama unaenda mtaa alokua anakaa. Kuna kaka alikuaga kama mlinzi nyumba nayokaa mchafuu mleviii ndo alikua bwana ake. Basi ulikula malaya maana alikuja mjini kwa kazi hiyo tu. Kwao wanajua anauza hotel

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli, sijui jina la mitaa ile ila sio mbali na ile barabara kubwa, chumba chake kilikua ndani kidogo na kimesheheni balaa hadi nilimuonea wivu
Kumbe ningeweza fumaniwa eeh!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndo hivo.tulipokua Advance kuna jamaa angu alienda kununua ,mtoto si akampenda jamaa,jamaa akawa anapewa mpaka kwa mkopo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakikupenda hawavungi. Bwana wa huyo kidoti alikua ananiambia nyie mnaniona mi mchafu ila huyo kidoti nikimwambia hamna kutoka leo hatoki. Na hapo anamnunulia mwanaume pombe chakula anampikia na anaenda kulala nae kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli, sijui jina la mitaa ile ila sio mbali na ile barabara kubwa, chumba chake kilikua ndani kidogo na kimesheheni balaa hadi nilimuonea wivu
Kumbe ningeweza fumaniwa eeh!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Pale panaitwa msaada garage. Kuna kama bar kwa nje unapita katikati kuna wauza chips. Bwana ake huyo mjinga mjinga alikuaga hana muda. Yeye ndo alikua anaitwa na kidoti akamle. ile nyumba nilisikiaga alifukuzwa wateja walizidi akawa anauzia mpaka kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli ni mzuri mnoo, afu yupo softii,
Kuna muvi aliigiza alinipa cd yake inaitwa MTOTO WA MCHUNGAJI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na biashara yake haachi. Alikuaga anasema anaimba na kuigiza apate mabwana wenye hela. . Naona kawapata kweli maana alihamia sinza na mkoko anao. Bila shaka na nyumba yao alishaimaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale panaitwa msaada garage. Kuna kama bar kwa nje unapita katikati kuna wauza chips. Bwana ake huyo mjinga mjinga alikuaga hana muda. Yeye ndo alikua anaitwa na kidoti akamle. ile nyumba nilisikiaga alifukuzwa wateja walizidi akawa anauzia mpaka kwake

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaaa,
Sikujua hayo mimi afu alitokea kunipenda kweli, alkua akisumbua niende kwake lkn nilishajua anajiuza stimu zikakata, maana nilivyojituma cku ile afu nkajajua ni malaya dah! Nilijutia nguvu zangu, baada ya kuoa na namba nkafuta kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na biashara yake haachi. Alikuaga anasema anaimba na kuigiza apate mabwana wenye hela. . Naona kawapata kweli maana alihamia sinza na mkoko anao. Bila shaka na nyumba yao alishaimaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
mzigua ndo maana nikija hilo jiji nmeazimia nikutafute intelejensia yote naona unayo utanitafutia na wa kumtafuna asiwe anajiuza ila apende kuhongwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom