Sumu Boy
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 206
- 218
Kama heading inavyosema sitasahau siku mwili uliponiwasha nikajipeleka maeneo flani hivi ambako bitch wanapatikana kwa 5000 baada ya kumaliza haja yangu nilitamani kulia maana nilijua HIV nimeshapata mpaka leo sitaki tena kurudia huo mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app