Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,394
- 88,831
Hahahahahaaa. Ulijua unepata gf eeh. Ukimuona mchana kama hajasema unakataa. Mimi niliambiwa nikawa nabisha. Siku tumekutana salon akaanza kuhadithia alivyotaka kubakwa. Wala haoni aibu. Siku zingine ananiita nimjibie message zake za kizungu namsaidia ye anaenda kutoa k tu.Hahahaaaa,
Sikujua hayo mimi afu alitokea kunipenda kweli, alkua akisumbua niende kwake lkn nilishajua anajiuza stimu zikakata, maana nilivyojituma cku ile afu nkajajua ni malaya dah! Nilijutia nguvu zangu, baada ya kuoa na namba nkafuta kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
