Siku ya Kwanza Kumnunua Malaya

Siku ya Kwanza Kumnunua Malaya

Kama heading inavyosema sitasahau siku mwili uliponiwasha nikajipeleka maeneo flani hivi ambako bitch wanapatikana kwa 5000 baada ya kumaliza haja yangu nilitamani kulia maana nilijua HIV nimeshapata mpaka leo sitaki tena kurudia huo mchezo

Sent using Jamii Forums mobile app
Siku zote,kijana aliejitunza vizuri ama kiasi na uelewa kiasi flani vile roho humuuma kutoka na malaya,akizani amekwisha na bila kusahau kuwa kitaa napo mabinty ni Malaya wasio jionyesha wazi kama wengineo.

Trust yourself

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidoti kujiuza kumemlipa jamani. Alikuaga anajiuza Corner bar nikawa namwambiaga mbona we mzuri kwanini unajiuza anasema sasa nisipojiuza nitafanya shughuli gani mjini. Kila week alikuaga anadeposit mpesa kama laki 4. Anazituma kwao anawajengea wazazi wake nyumba. Mungu kamuona maisha kayapatia maana kuuza papa sio kazi ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
No.. Hii Nakataa
 
Huyu alkua mteja kazini kwangu tulizoeana hadi tukawa marafiki, nkamkopesha losheni akawa anazingua kulipa, siku moja akaniambia niende home kwake anipe ela yangu (alkua anaishi mwananyamala kipindi hicho) kufika kajiachiaa na vichuchu vyake vile uzalendo ukanishinda tukafanya yetu tena kavu (ckua najua kama ni muuza K) hata hela ya loshen sikukumbuka kudai, siku mbili baadae nkamkuta ambiance kajianika hata sikumshtua, nikawa namchora tu akija ofisini.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haa unamjua kumbe nshampaga elfu 15 yangu japo nlipiga kwa hofu sikuridhika pesa nliona kama nmeidondosha chooni,Mungu anatupenda na kutulinda sana sasa nna wife nko very selective na kujaribu kutulia
 
Nimeangalia hiyo video,mzigua huyo kidoti ndo mzuri? ama kweli tumetofautiana macho

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mimi pia bado nautafuta uzuri wa huyu dem siuoni. Nimezama instagram yake namuona wa kawaida, nacompare na page za cheche nyingine za ambiance zmemuacha mbali sana. Btw Nikiandaa top ten ya cheche kali za Ambiance huyu asingeingia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidoti kujiuza kumemlipa jamani. Alikuaga anajiuza Corner bar nikawa namwambiaga mbona we mzuri kwanini unajiuza anasema sasa nisipojiuza nitafanya shughuli gani mjini. Kila week alikuaga anadeposit mpesa kama laki 4. Anazituma kwao anawajengea wazazi wake nyumba. Mungu kamuona maisha kayapatia maana kuuza papa sio kazi ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe hujawahi kuuza?!
 
Nilipokua o level
Kuna mwalimu wa kisw alitoa zoezi form two wakati si tupo form 3
Akawataka watoe maana 5 za kichwa
Kuna binti akaandika maana moja wapo ni kichwa cha *boo , yule teacher alimpa tiki coz alikua ameshawazoesha kuongelea neno "kichwa" kama binti alivojibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hao walikuwa wanatongozana kimafumbo ili wanafunzi wengine wasielewe demu alikuwa anamjulisha mwalimu shida yake na mwalimu akatia tiki kuonyesha kakubali sex

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haa unamjua kumbe nshampaga elfu 15 yangu japo nlipiga kwa hofu sikuridhika pesa nliona kama nmeidondosha chooni,Mungu anatupenda na kutulinda sana sasa nna wife nko very selective na kujaribu kutulia
Hahaaaa, kwa yule tuko wengi mkuu,
Kwanini ulkula kwa hofu sasa!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No.. Hii Nakataa
Usibishe mkuu, huyu kidoti alkua ana mvuto sana kukosa 50 mpaka laki kwa siku kwake ni nadra sana afu yuko peace sana, home kwake yuko vizuri huwezi dhania anafanya kazi ya kuuza K, kwenye simu yake kukuta laki 3 mpaka m1 sio kitu kigeni,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidoti kujiuza kumemlipa jamani. Alikuaga anajiuza Corner bar nikawa namwambiaga mbona we mzuri kwanini unajiuza anasema sasa nisipojiuza nitafanya shughuli gani mjini. Kila week alikuaga anadeposit mpesa kama laki 4. Anazituma kwao anawajengea wazazi wake nyumba. Mungu kamuona maisha kayapatia maana kuuza papa sio kazi ndogo

Sent using Jamii Forums mobile app
kila wiki laki 4 kwa mwezi 1.6milion tax free

alafu hii kwa sisi watu wa biashara tunaita profit maana running cost imewekwa pembeni kabla ya hii kuwa deposited

kwanzia leo sitajiuliza why wadada huwa wanajiuza japo ni kazi hatarishi sana na mbaya....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom