Masterofdisaster
Member
- Oct 17, 2019
- 32
- 59
Hhaahaha daah mwanang maumivu uliyonayo hapo lazima ulienda kulilia geto lak moja imeisha kimasihara bora hata ungemtengenezea mazingira umle kimasihara.
Dar ngumuwanaume wa dar hamuishagi vituko
Siku ya kwanza ni ngumu kula mzigo aisee....mimi si wale wazee wa buza ambao hawabakizagi hata mifupasiti ya mbele dirishani....
kwaio mzee maganga ukashindwa kula tunda kimasihara aisee
Picha nikama nitakuwa namshoresha..kitu kimesiamma hatareeIngependeza zaidi ungetupia na kapicha
Maganga ngoshaa...aka Mag.... mtu wa Nzega kwa mara ya kwanza kukutana demu wa kishua ...Maganga mwenyewe 😂
Mzee hivi kukutana na demu mzuri ni ujingaa....hiiimkuuuuu tafuta pesa acha ujinga
Kaka hapa mjini ni lazima uwe na ka " aka...."Nimecheka sana kumbe " Thanks mag.." ni kifupisho cha Thanks maganga. Daah Tanzania sihami ng'ooooo
Hela niliuza ngombe wangu wawili kule nzega wakanitumia hela, nilikuwa na laki nne siku hiyo...niliacha jina pale!! Wale wahudumu wananiomba contact zangu!!Ulikuwa umejipanga
Story yako imebadilisha sana maisha yanguasante.