Siku ya kwanza kukutana na mtoto wa kishua...

Hhaahaha daah mwanang maumivu uliyonayo hapo lazima ulienda kulilia geto lak moja imeisha kimasihara bora hata ungemtengenezea mazingira umle kimasihara.
 
Hahaha umenikumbusha haka kaishu. Enzi hizo nipo form four ila nina sehemu ya kufanya ishu za kuburn cd, kuingiza nyimbo kwenye memory, flash n.k.

Basi mida ya jioni hivi akaingia bi dada kaenda hewani mi kijeba (tho ni kijeba ila kwahuyu ikawa dhahiri) ana tako, kasura ka kudeka, ziwa kifuu halafu mweusi anateleza, basi as usual namfanyia kazi yake huku natia stori mbili tatu ndo najua yuko form two nikamuuliza shule anayosoma akaitaja. Ile shule mimi nilifaulu ila nilihama kutokana na umbali.

Basi nikawa namtajia maeneo walimu nini mwisho wa show nikaomba namba, nikagewa. Lakini kila nikifikiria naona hii kazi siyo level zangu najidanganya. Suluhisho? Nikaenda kumpa namba mshkaji wa maskani sikumtajia hata jina nikamuambia tu hiyo kazi ni kali hatari. Huyu mwana ni fundi tiles basi yule mshkaji nimempa namba usiku kesho yake usiku ananiambia alimuita mdada mida ya jioni akashona.

Nikaona jamaa muongo nikamuuliza alivyo kanielezea vile vile na jina lake. Akaniambia mdada kafika gheto na jamaa baada ya kuingiza hitaji lake binti akamuambia niahidi utanioa ndiyo nakupa mchezo. Mchizi akakubalia game likapigwa.

Kifuatacho ITV? Usiku huo huo nikamtumia sms bidada tukachati nikamuomba kesho yake aje mjengoni akajibu fresh.

Kesho kafika kavaa jinzi, top kudadeki kule bondeni kwa kina Ali Gonga wananishangaa nimemtoa wapi yule kiumbe. Tumeingi mjengoni najifanya taa mbovu so mwanga ukawa wa TV peke yake.

Mtoto anameremeta. Naangalia lile body hadi nataka kulia.

Namuuliza kinywaji akajibu yulo fresh niseme nilichomuitia. Nikamuambia sijakupigia siku zote nilikua natafuta nguvu za kusema nakupenda, akauliza;

"Nitaaminije?"

"Sema wewe nikuaminisheje?"

"Niahidi kama utanioa"

Nikaona yale yale ya mshkaji wangu aliyoniambia.

Nikamuambia "Nazidi kukupenda umenichagulia kitu kilicho ndani ya uwezo wangu kukuthibitishia" naongea hivyo huku namsogelea vizuri akajiachia nikamchojoa.

Ananiambia nimnyonye K nikakumbuka jana katoka kushonwa na mwanangu nikaescape hilo ombi. Nikatumia vidole tu kudeal na kisimi nikamuacha aniblow then tukapiga show mbili tu ikawa sasa nimefungua ukurasa wa uhusiano na huyu mdada.

Sex body kwa mwanamke ni laana. Men will go after such a lady lakini they don't see past hilo tako, figa namba nane kifua kilichosimama. So that's what I saw. Mwanamke ambaye sijampenda hua nasmash mara tatu kisha nayeya.

Basi ilivyotimia mara ya tatu nikamwambia ukweli mwana wa maskani nikamuambia so naenda kukutaja umeniambia niachane na mkeo. Mchizi akanicheka sana halafu akaniambia fresh tu.

So nikaomba kumeet na mdada akaniambia anableed nikamjibu sikuitii hilo na hata hivyo nataka tuonane nyuma ya kwenu. Tukakutana nikajifanya naongea kwa masikitiko na huwezi amini mdada akasema hamjui mshkaji baada ya muda akasema anamjua ila ni shemeji yake kwa rafiki yake.

Ebwana kila nikimuangalia siamini kama ndiyo napiga chini ile kazi nikaona kuendelea kubaki ni kujitafutia kumsamehe. Nikajichekecha mdada analia (Sijui kweli au la)

Mara ya mwisho nimekutana naye Bills 2014, mi nimeenda kulinda pale kupiga day worker yeye anashuka na mshkaji kwenye ndinga wanaingia ndani. Kaniangalia halafu akaonyesha hanijui na mimi nikaendelea kuangalia kulia.
 
siti ya mbele dirishani....
kwaio mzee maganga ukashindwa kula tunda kimasihara aisee
Siku ya kwanza ni ngumu kula mzigo aisee....mimi si wale wazee wa buza ambao hawabakizagi hata mifupa

Siku ya kwanza ni kutengeneza cv kwanza
 
Nimecheka sana kumbe " Thanks mag.." ni kifupisho cha Thanks maganga. Daah Tanzania sihami ng'ooooo
Kaka hapa mjini ni lazima uwe na ka " aka...."
Kama mimi Maganga...basi ze totoz wananiita " Hello Mag..."
 
Ulikuwa umejipanga
Hela niliuza ngombe wangu wawili kule nzega wakanitumia hela, nilikuwa na laki nne siku hiyo...niliacha jina pale!! Wale wahudumu wananiomba contact zangu!!

Yalikuwa masaa 3 ya kutesa mbaya!! Nikaondoka na buku tu.
 
Ushaliwa tayari. Hela ya uber kaenda kukwea zake Eicher la Mbagala tena kupitia dirishani.
Tena ukute beki tatu anakwambia wazazi wanarudi saa 12 kumbe anawawahi mabosi zake.

All in all hii story yako ni ya kusadikika. Ila ndoto hutimia, endelea kuota ipo siku utaliwa kweli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom