MR. DRY
JF-Expert Member
- Oct 5, 2011
- 637
- 122
Binafsi najishangaa sana mzunguko wa maisha yangu:
Nikiwa sekondari serikali ikafuta masomo yabiashara(BK&COM) sisi ndo 2kawa wa mwisho.
Nakwenda advance serikali ikarudisha miezi ya kumaliza nyuma(from may to march).
Haikuishia hapo ndo ikawa mwaka wa kwanza kuunganisha chuo!(nikakosa)
Nimepata chuo mkopo nikakosa, kidogo serikali ikasema wenye div 2 wapewe tukawa wa kwanza pia.
Kumaliza chuo soko la ajira limekuwa gumu!
Nikamuuliza mumy mimi nimezaliwa mwka gani?
Jibu: kumbe ule mwaka serikali imebadilisha ile pesa ya mmasai!
Kwenye tarehe sasa dunia ndo wakaifanya siku ya kuadhimisha UKIMWI.
Jamani maisha yangu yanapoelekea yakoje!
Naweka.nukta
Nikiwa sekondari serikali ikafuta masomo yabiashara(BK&COM) sisi ndo 2kawa wa mwisho.
Nakwenda advance serikali ikarudisha miezi ya kumaliza nyuma(from may to march).
Haikuishia hapo ndo ikawa mwaka wa kwanza kuunganisha chuo!(nikakosa)
Nimepata chuo mkopo nikakosa, kidogo serikali ikasema wenye div 2 wapewe tukawa wa kwanza pia.
Kumaliza chuo soko la ajira limekuwa gumu!
Nikamuuliza mumy mimi nimezaliwa mwka gani?
Jibu: kumbe ule mwaka serikali imebadilisha ile pesa ya mmasai!
Kwenye tarehe sasa dunia ndo wakaifanya siku ya kuadhimisha UKIMWI.
Jamani maisha yangu yanapoelekea yakoje!
Naweka.nukta