Siku ya kuzaliwa na maisha yangu......

MR. DRY

JF-Expert Member
Oct 5, 2011
637
122
Binafsi najishangaa sana mzunguko wa maisha yangu:

Nikiwa sekondari serikali ikafuta masomo yabiashara(BK&COM) sisi ndo 2kawa wa mwisho.

Nakwenda advance serikali ikarudisha miezi ya kumaliza nyuma(from may to march).

Haikuishia hapo ndo ikawa mwaka wa kwanza kuunganisha chuo!(nikakosa)

Nimepata chuo mkopo nikakosa, kidogo serikali ikasema wenye div 2 wapewe tukawa wa kwanza pia.

Kumaliza chuo soko la ajira limekuwa gumu!

Nikamuuliza mumy mimi nimezaliwa mwka gani?
Jibu: kumbe ule mwaka serikali imebadilisha ile pesa ya mmasai!
Kwenye tarehe sasa dunia ndo wakaifanya siku ya kuadhimisha UKIMWI.
Jamani maisha yangu yanapoelekea yakoje!
Naweka.nukta
 
Birthday-Flowers NEW 3.jpg
Furahia siku yako ya kuzaliwa Mkuu,
mengine yatajipa tu.
 
Happy birthday Mr. Dry. If you concentrate on thinking about vitu vizuri vyote vilivyo kutokea in the same way umefikiria vitu negative nadhani utakua na mwaka mzuri sana. I wish you a lot of faith and hope going forward!
 
Happy b.day my dear. Bt angalia sn na huko down kwako, usije ukapata mkosi mwengine. HIV free generation, it begins with uuuu..............
 
mjanja wewe lakini. Umezungukz mbuyu weee, kumbe wataka tujue umezaliwa leo, ok.

Happy birthday!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom