Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
watu wenye ugonjwa wa 'sonona' ni wengi sana.
Watu hao, hupendelea kula mirungi, kuvuta bangi na kunywa pombe sana.
Kama unaonja yeyote niliyoyataja hapo juu, unafahamu fika bora uanze kuhudhuria klinik ya akili.
Watu hawa huwa kwenye hatari zaidi ya kujidhuru pale wanapoendesha vyombo vya moto.
Hivi, wenye akili timamu tuko wangapi?
Siku ya akili njema, Bishanga itunze akili yako.
Watu hao, hupendelea kula mirungi, kuvuta bangi na kunywa pombe sana.
Kama unaonja yeyote niliyoyataja hapo juu, unafahamu fika bora uanze kuhudhuria klinik ya akili.
Watu hawa huwa kwenye hatari zaidi ya kujidhuru pale wanapoendesha vyombo vya moto.
Hivi, wenye akili timamu tuko wangapi?
Siku ya akili njema, Bishanga itunze akili yako.
Last edited by a moderator: