Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,933
nilipanona kama ifuatavyo
1. arusha
hapa nilipaona pa kiboyaaaa kupita maelezoo.yan Na lile neno A town nilivyokua nawaskia akina joh makin plus kale kamsemo kao ka "uswiz" ya afica nikawa napata picha sijui patakuaje.
anyway, just overated, tena kipind kile nafika nilikuta hamna hata stand maalum ya mabas inayo eleweka basi nikajione tabu tu.
2. Dar es salaam.
Hapa nilipaona a kawaida tu,sio pabaya lakin pia sio amazing kama nilivyokua napapatia picha.Pa kawaida tuuu.
3.Mwanza.
Hapa nilipaona at least amazing.Na seriously ni jiji linakua kwa kasi ya kutisha sana.Jinsi nilikua napapatia picha mwana aisee nikajiomba msamaha mwenyewe.Pako gud na lazima nijenge mwanza any time soon.
1. arusha
hapa nilipaona pa kiboyaaaa kupita maelezoo.yan Na lile neno A town nilivyokua nawaskia akina joh makin plus kale kamsemo kao ka "uswiz" ya afica nikawa napata picha sijui patakuaje.
anyway, just overated, tena kipind kile nafika nilikuta hamna hata stand maalum ya mabas inayo eleweka basi nikajione tabu tu.
2. Dar es salaam.
Hapa nilipaona a kawaida tu,sio pabaya lakin pia sio amazing kama nilivyokua napapatia picha.Pa kawaida tuuu.
3.Mwanza.
Hapa nilipaona at least amazing.Na seriously ni jiji linakua kwa kasi ya kutisha sana.Jinsi nilikua napapatia picha mwana aisee nikajiomba msamaha mwenyewe.Pako gud na lazima nijenge mwanza any time soon.