Siku ukiwa Rais mtu wa aina hii utamfanya nini?

Siku ukiwa Rais mtu wa aina hii utamfanya nini?

Chakufanya hapo ni kutekeleza wajibu wako kwa ufasaha, wa hali juu.
Pasipo kuangalia Negatives thoughts
 
Kwanini kupoteza watu? Sheria zipo hadi za uhaini,
Mwenye kosa afikishwe mahakamani, akipatikana na hatia aadhibiwe kwa mujibu wa sheria,
Siku mtu wako wa karibu akiokotwa kwenye kiroba, utakumbuka huu uovu unaoutetea hapa,.
Nb, Wanapotezwa wanahatarisha usalama wa walamba asali sio wa nchi
Sasa we usiependa kulamba asali( kuwa na maisha matamu na ya amani, ndo muhaini mnaoitaji kufutwa hili Nchi ibakie na wazalendo tu.
 
Ndio maana haswa ya uongozi, uongozi ni pamoja na changamoto kama hizo, hakuna kazi rahisi duniani.

Unachotakiwa kufanya juu ya mtu wa namna hiyo ni kufanya zaidi majukumu yako kwa umakini na ufasaha nae atakosa sababu ya kukupinga.
 
Jiwe aliwaachia makovu sana nyie wapumbavu!

Yani kila uzi lazima atajwe!

Ok.. Hivi cha kujivunia kwenye huu utawala wa Samia ni kipi?
hakika
 
Lakini haui watu,Wala kuteka watu!
Ameua masikini wengi wajawazito waliofia njiani kwa ubovu wa miundombinu ameua masikini waliokosa huduma Bora za afya ametesa maelfu ya wananchi kwa tozo za hovyo bibi masikini aliyepo kijijini ulimtumia mwanae mgonjwa fedha anatozwa kodi kama mfanyabiashara! Ametesa maelfu ya wamachinga n.k itoshe kusema HAFAI!
 
Sasa we usiependa kulamba asali( kuwa na maisha matamu na ya amani, ndo muhaini mnaoitaji kufutwa hili Nchi ibakie na wazalendo tu.
Unashabikia watu kufutwa? Utaishi milele na huo uzalendo wako?
Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu unaweza kufa kabla ya kuwapoteza hao unaofurahia wakipotea,
Tumia hekima kwenye majibu yako, wewe huna uwezo wa kuongeza hata ukucha mmoja kwenye vidole vyako,
Uhai ni wa Mwenyezi Mungu uheshimiwe
 
Unashabikia watu kufutwa? Utaishi milele na huo uzalendo wako?
Kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu unaweza kufa kabla ya kuwapoteza hao unaofurahia wakipotea,
Tumia hekima kwenye majibu yako, wewe huna uwezo wa kuongeza hata ukucha mmoja kwenye vidole vyako,
Uhai ni wa Mwenyezi Mungu uheshimiwe
Kunywa maji mwanangu! Usipanic
 
Ameua masikini wengi wajawazito waliofia njiani kwa ubovu wa miundombinu ameua masikini waliokosa huduma Bora za afya ametesa maelfu ya wananchi kwa tozo za hovyo bibi masikini aliyepo kijijini ulimtumia mwanae mgonjwa fedha anatozwa kodi kama mfanyabiashara! Ametesa maelfu ya wamachinga n.k itoshe kusema HAFAI!
Hivi Kuna Nchi ambayo imeendelea bila kodi? tulipe Kodi hili tuache kuwa Nchi tegemezi,

Hao Western ambao ni wadau wetu wa maendeleo, fedha wanazotukopesha Ni zao la tozo za Kodi kutoka kwa wananchi wao, Tena wenzetu wana makodi makubwa kuliko sisi nchi za hali ya chini
 
Habari JF,

Unajua uongozi ni mgumu sana sababu kubwa ni kwamba unaongoza mamilioni ya watu wenye akili na mitizamo Tofauti.

Kupitia mazingira hayo ndio tunaona viongozi wanaenda mbali na kufanya maamuzi magumu ambayo yanampa taswira mbaya.

Hivi mfano ukiwa Rais wa Tanzania mtu kama huyu utamfanyaje?

1. Umeingia tu madaraka una miezi 3 kiongozi wa Chama Chama Upinzani ana hamashisha watu waingie mitaani wadai katiba mpya

2. Umeongeza mishahara kwa watumishi kulingana na hali ya Uchumi wa nchi, mtu anaandaa watu wawe na Mgomo baridi makazini

3. Unatengeneza mazingira mazingira mazuri ya kupata pesa kutoka nje, Mtu anapiga propaganda huko nje kwamba wale watu sio wa kuwapa pesa

4. Unahamasisha watu walipe kodi na Tozo kwa ajiri ya maendeleo mtu yuko bize mitaani na mitandaoni kupinga zoezi hilo lisifanikiwe

5. Uko bize unapambana na Changamoto za uongozi Mtu yuko bize mitandaoni ana andika mambo machafu na kukutukana mitandaoni mbele ya watu unao waongoza

6. Unapambana na changamoto za Uongozi mtu yuko bize kwenye Chama kumobilize wanachama wakutoe madarakani

7. Unajitahidi kuongoza Nchi pamoja na changamoto zake Mtu yuko bize kupiga propaganda Chafu uonekane hufanyi kitu.

Wana JF mtu huyu utamfanyaje? Maana hiki ndio chanzo kikubwa cha viongozi wengi kuonekana wabaya Duniani.

Binafsi mtu wa namna hii siwezi mvumilia hata kidogo na ntapoteza watu wachache kwa ajili ya maendeleo ya watu wangu.
Ndio maana wewe sio Rais
 
Naskia vijana wa BAVICHA mnataka kususia sensa .
 
Back
Top Bottom