Siku tukifika hapa majanga ya moto yatakuwa kitendawili

TODAYS

JF-Expert Member
Apr 30, 2014
13,755
21,219
Gari linaenda eneo la tukio bila kuwa na maji, alafu kesho wanasingizia kariakoo kuna tatizo la miundombinu.

Nani kawaambia gari zipaki bila kuwa na maji?.

Wenzetu wamefikia kwenye teknolojia kama hii hapa 👇🏾, sisi tusubiri sana.

 
Gari ya maji inatakiwa inaenda safari ya kwanza tuu ikifika na maji baada ya maji kutumika kinachotakiwa ni kuunganisha kutoka chemba zilizopo eneo husika...sehemu ambayo maji au mchanga au powder itatoka mbali ni moto wa msituni ni vile miji yetu haijaunganishwa na maji ya kuzima pindi ikitokea janga la moto mabomba ya maji ya kuzima moto huwa yana rangi nyekundu na maji ya kutumia kwa matumizi ya kawaida ni bluu hizo ndio code zake sasa moto unawaka gari ifate maji nje ya mji tutazima moto kweli lile gari lipo kwa ajili ya kuongeza pressure...
 
Kwa kawaida ujenzi wowote hapa mjini idara ya Zima Moto imeshiriki kuidhinisha,wakilalamika huo ni usanii,Lugola na wenzie huu ndio muda wa kujieleza sasa.
 
Hii ni vfx.

Kuna helicopter na ndege za kuzima moto.
Lakini sidhani kama kuna drones za aina hii duniani.
Ila kwa technologia inavyokimbia siyo jambo la kushangaza ukikuta teknolojia hii tayari ipo na inafanya kazi.
 
Gari linaenda eneo la tukio bila kuwa na maji, alafu kesho wanasingizia kariakoo kuna tatizo la miundombinu.

Nani kawaambia gari zipaki bila kuwa na maji?.

Wenzetu wamefikia kwenye teknolojia kama hii hapa 👇🏾, sisi tusubiri sana.

View attachment 1850889

Siku tukifika hapa majanga ya moto yatakuwa kitendawili???​


Sijaona lolote la maana uliloandika kwenye uzi wako.

Kwani ukimiliki hizo anti-fire drones, majanga ya moto yatakwisha na kubaki kitendawili?
Hizo drones zinatumika wakati moto tayari ulishatokea.
Njoo na hoja za msingi kuhusu njia za kuzuia majanga ya moto yasitokee na ununuzi wa drones liwe suala la nyongeza.
 

Siku tukifika hapa majanga ya moto yatakuwa kitendawili???​


Sijaona lolote la maana uliloandika kwenye uzi wako.

Kwani ukimiliki hizo anti-fire drones, majanga ya moto yatakwisha na kubaki kitendawili?
Hizo drones zinatumika wakati moto tayari ulishatokea.
Njoo na hoja za msingi kuhusu njia za kuzuia majanga ya moto yasitokee na ununuzi wa drones liwe suala la nyongeza.
Majanga ya moto hayatakwisha, ila tutakuwa angalau tumesogea hatua moja mbele. Kikubwa ni kwamba wajenzi wa majengo ya kisasa wanatakiwa kuweka mifumo ya kuzimia moto kwenye kila jengo (water sprinklers). Hii itasaidia juhusi za mwanzo za kuzima moto automatically kabla zimamoto hawajafika kuanza juhudi zao. Kwa sasa, majengo mengi yana hio mifumo ya uzimaji moto.
 

Siku tukifika hapa majanga ya moto yatakuwa kitendawili???​


Sijaona lolote la maana uliloandika kwenye uzi wako.

Kwani ukimiliki hizo anti-fire drones, majanga ya moto yatakwisha na kubaki kitendawili?
Hizo drones zinatumika wakati moto tayari ulishatokea.
Njoo na hoja za msingi kuhusu njia za kuzuia majanga ya moto yasitokee na ununuzi wa drones liwe suala la nyongeza.
Anzisha uzi wako wenye mlengo wa kuzuia moto usitokee.
 
Back
Top Bottom