Vikao vya Harusi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2012
- 512
- 140
Tatizo mkiona msalaba tu,maruani yanalipuka kwa hofu!
Kuhusu miti ya xmass na nyie tafteni miti ya idd tuwe tunawawekea
Kuhusu miti ya xmass na nyie tafteni miti ya idd tuwe tunawawekea
Wivu wa kijinga..ht wewe ikifika msimu wa sikukuu zenu unaruhusiwa kutundika ubani
Wewe ukiona msalaba sehemu unawaza nini?
Siwazi, ila najua ni moja ya mira na desturi za kirumi za miaka mingi sana ambayo inakumbatiwa na wakirsto wa sasa wakati haina uhusiano wowote na maandiko yaliyo kwenye Biblia.
kinachotakiwa ni hao wengine nao waweke alama zao kama inawauma na sio kuondoa
Tatizo mkiona msalaba tu,maruani yanalipuka kwa hofu!
Kuhusu miti ya xmass na nyie tafteni miti ya idd tuwe tunawawekea
Siwazi, ila najua ni moja ya mira na desturi za kirumi za miaka mingi sana ambayo inakumbatiwa na wakirsto wa sasa wakati haina uhusiano wowote na maandiko yaliyo kwenye Biblia.