Jaji Larry Burns aagiza
msalaba uliopo katika mlima soledad, San Diego, Calfonia, U.S.A
kuondolewa mara moja ndani ya siku 90. Hii ni baada ya kusoma hukumu
yake siku ya alhamis ya wiki iliyopita, na kusema kuwa uwepo wa Msalaba
huo kwenye ardhi ya umma ni kinyume na katiba ya Marekani.
View attachment 128309The mount soledad cross
Kwa hiyo?
Freedom of worship sawa sawa kabisa. Ingekuwa hapa kwetu naona huyu Judge tungemchinja.
Msalaba sio issue hata kama ukiondolewa au ikijengwa mingine mingi.
Cha muhumu ni kuwa Je unachokifanya wewe ni kinampendeza MUNGU ALIYE MKUU ALIYEUMBA MBINGU NA DUNIA?
MUOMBE MUNGU AKUFINYANGE KIROHO NA KIMWILI KAMA APENDAVYO MUNGU ALIYE MKUU NA SIO JAJI AU ...WASIOKUWA NA KIBALI TOKA KWA MUNGU.
Maandiko yanasema Mpokee BWANA YESU ......
Haujaelewa tatizo unaanza mahubiri!!!!...Huo msalaba uko kwenye eneo la umma, ungekuwa kwenye eneo la kanisa kusingekuwa na tabu. Hili tatizo lipo sana kwenye nchi nyingi, mpaka shule za uma kuna misaraba madarasani, watoto wanalishwa vumbi la vipindi vya dini na kulishwa uwongo usio maana!:der::crazy:
Wivu wa kijinga..ht wewe ikifika msimu wa sikukuu zenu unaruhusiwa kutundika ubaniHata mm ningepiga marufuku na miti ya Xmass maofisini na sehem za kazi(Serikalini)
Mr BAN niruhusu nimtukane huyu ....! kidogo tu! maana akili zake jumlisha ma.... yake unapata ma<i tu!
Hata mm ningepiga marufuku na miti ya Xmass maofisini na sehem za kazi(Serikalini)
Tafsiri ya Musalaba ya huyo Jaji ni ipi?
Hata mm ningepiga marufuku na miti ya Xmass maofisini na sehem za kazi(Serikalini)