Siku polisi waliponifuma na msichana gesti

Siku polisi waliponifuma na msichana gesti

hahahaha!! huu ukaguzi wa hivi nafikiri huwa unawapa poti wetu genye sana ndo maana wanaenda zimalizia kwa wehu mtaani.
 
Nimecheka sana.kama vile nakuona ulivyokuwa ukijibu maswali yoa huku ukitabasamu kwa uoga
Noma,mwanzo nilikuwa nimeegemea ukuta wa bafu,baadae nikakaa kwenye sofa kiunoni na taulo,nilitafuta ujasiri kwa taabu sana nilikuja kuupata dakika za mwisho mwisho
 
Kuna wakati tumetok club tupo bwiii,kumbe nyumba kuna polisi wanatufatilia ile kupiga hatua mbili wakapuliza filimbi tusimame nilitokomea nikamwacha mwanamke wangu kesho kwend kumwekea dhamana nikawekwa lock up ilikua tabu sna
We ni wa DAR?
 
Kwa wenye uzoefu, mngetusaidia kujua katika scenario hizo, unakuwa umekosea nini?
 
Huyo Sara aache uchangudoa sasa hadi mapolisi walipita? Nadhan wao hawakutumia makondom mengi ndio maana waliona wivu.
 
Back
Top Bottom