Siku PM zikiongea

Lol...kwa mtindo huu za kwako wala sizibandiki na zile zingine ngoja nizibandue ukutani kabisa.

Hehehehhe actually bora usafishe kabisa hiro riukuta maana nikukuta za sijui kina Hus na Sweetlady i'm telling. Na taraka ra kirafiki nakupa.
 
Hehehehhe actually bora usafishe kabisa hiro riukuta maana nikukuta za sijui kina Hus na Sweetlady i'm telling. Na taraka ra kirafiki nakupa.
Lol...ngoja nipeleke ulinzi wa mgambo na wamasai kwa Hus na Sweetlady machaliii wa Unga Limited ni nomaaa...
 
Afu ww toka nikupe password yangu unaanza kusema siri zangu! Nishabadilisha mission,lol
tunatofautiana matumizi ya vitu, unaweza kuta wengine wanapanga kushika mitutu humu humu, wewe tumizi lako ni hilo
 
Hehehehhe actually bora usafishe kabisa hiro riukuta maana nikukuta za sijui kina Hus na Sweetlady i'm telling. Na taraka ra kirafiki nakupa.
Lol...ngoja nipeleke ulinzi wa mgambo na wamasai kwa Hus na Sweetlady machaliii wa Unga Limited ni nomaaa...
 
Mkwe afu ujue pm zako zote nime subscribe kabisaa, nna mpango wa kuprescribe soon. Watchout!

mkwe acha mikwara. Son wako kwanza kaniambia niblock pms. Nina miezi sita sasa sijapokea pm.
 
Kuna siku Hus alinitumia PM ile kuifungua ili niisome nikakuta kumbe kanitumia paja la kuku wacha nianze kujichana
Lol, alichanganya na limbwata shauri zako, wewe subiria utajipeleka mpwapwa siku sio nyingi.
 
Kuna siku Hus alinitumia PM ile kuifungua ili niisome nikakuta kumbe kanitumia paja la kuku wacha nianze kujichana

na mimi nataka lile paja la mbuzi ulilosema utanitumia kwa pm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…