Siku niliyotamani kiama

Siku niliyotamani kiama

Kuna day nimekula mtungi sana kuanzia mida ya asubuhi hivi saa nne. Nililewa sana asee kiasi kwamba mpaka saa tisa hivi alasiri nilifanya kubebwa nipelekwe home.

Nikaingia chumbani nikavua nguo zote nikalala, mida ya saa 12 jioni mkojo umebana nikasema ngoja nitoke nje nikakojoe.. Ile natoka na wenge langu uchi wa mnyama kumbe watu wamekaa nje bi mkubwa na mashangazi walikimbia ghafla sikuona mtu nilirudi ndani kwa aibu hata mkojo sikuusikia tena.

Niliona aibu sana nikawa nafanya kuamka asubuhi kabla ya wote nasepa kama week hivi. Nikaona bora nihame home tu nisije kuzua mengine. Nikakaa mda sana bila kula mtungi. Saivi nakunywa kistaarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha!!..aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna day nimekula mtungi sana kuanzia mida ya asubuhi hivi saa nne. Nililewa sana asee kiasi kwamba mpaka saa tisa hivi alasiri nilifanya kubebwa nipelekwe home.

Nikaingia chumbani nikavua nguo zote nikalala, mida ya saa 12 jioni mkojo umebana nikasema ngoja nitoke nje nikakojoe.. Ile natoka na wenge langu uchi wa mnyama kumbe watu wamekaa nje bi mkubwa na mashangazi walikimbia ghafla sikuona mtu nilirudi ndani kwa aibu hata mkojo sikuusikia tena.

Niliona aibu sana nikawa nafanya kuamka asubuhi kabla ya wote nasepa kama week hivi. Nikaona bora nihame home tu nisije kuzua mengine. Nikakaa mda sana bila kula mtungi. Saivi nakunywa kistaarabu

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna day nimekula mtungi sana kuanzia mida ya asubuhi hivi saa nne. Nililewa sana asee kiasi kwamba mpaka saa tisa hivi alasiri nilifanya kubebwa nipelekwe home.

Nikaingia chumbani nikavua nguo zote nikalala, mida ya saa 12 jioni mkojo umebana nikasema ngoja nitoke nje nikakojoe.. Ile natoka na wenge langu uchi wa mnyama kumbe watu wamekaa nje bi mkubwa na mashangazi walikimbia ghafla sikuona mtu nilirudi ndani kwa aibu hata mkojo sikuusikia tena.

Niliona aibu sana nikawa nafanya kuamka asubuhi kabla ya wote nasepa kama week hivi. Nikaona bora nihame home tu nisije kuzua mengine. Nikakaa mda sana bila kula mtungi. Saivi nakunywa kistaarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ni aibu kubwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa twende ukweni kutoa Mahali sasa kwa shy nikaona nile tungi la kutosha ili nisone shy daa si nikazidisha ikabidi msindikizaji wangu anishauri nile ndizi mbivu ili harufu itoke si unajua Serengeti ilivyo.Nikanunua ndizi nikaona mbona bado si akashauri ninunue packet ya maziwa Lato fresh milk ninywe kukata kilevi aisee kumbe nimeharibu tumbo likaanza kuunguruma gesi tumboni ikajaa mida ikafika mezani tukakaa mezani aisee Shuzi si likanitoka tena la sauti kama talumbeta kubwa aisee nilitamani kipindi cha kukabidhiana mahali kiishe mapema aisee.NIMEJAMBA MBELE ZA WAKWE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa twende ukweni kutoa Mahali sasa kwa shy nikaona nile tungi la kutosha ili nisone shy daa si nikazidisha ikabidi msindikizaji wangu anishauri nile ndizi mbivu ili harufu itoke si unajua Serengeti ilivyo.Nikanunua ndizi nikaona mbona bado si akashauri ninunue packet ya maziwa Lato fresh milk ninywe kukata kilevi aisee kumbe nimeharibu tumbo likaanza kuunguruma gesi tumboni ikajaa mida ikafika mezani tukakaa mezani aisee Shuzi si likanitoka tena la sauti kama talumbeta kubwa aisee nilitamani kipindi cha kukabidhiana mahali kiishe mapema aisee.NIMEJAMBA MBELE ZA WAKWE

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiii nimecheka
 
Hivi vitu ni kawaida mkuu, hutokea pia kwenye oral interview, unajikuta mzee unaweza Hata kusahau jina lako.. Wale panel members huwa wana enjoy saana
Mmh hiyo tena usiseme nina ushuhuda wake pia c mchezo
 
Mi nliingia kwenye pepa la kemia form 4 mtihani wa taifa,kuangalia hakuna hata swali moja nalolielewa alaf hakuna maswali ya kudefine.aisee ikabidi nijiongeze tu,matokeo yanakuja kutoka nina C.wajuvi wataelewa hyo C ilipatikanaje,kwa kumalizia nashukuru watahaniwa wenzangu kwa kunipa ushirikiano.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaha. Nilishakutwa na hiyo hali afu nilikuwa nimedanganya kwenye CV niliandika uongo mwanzo mwisho. Kumbe na jamaa aliyekuwa amenitangulia kuingia kwenye interview alikuwa kama mimi na alishtukiwa. Sasa mimi nilivyoingia jamaa wakauliza swali LA kizushi kujua ni kama yule aliyepita nikaishia kumtolea macho tuu. Nilitoka jasho aisee hadi jamaa ananiuliza tukupe maji? Nikamwambia kausha! Jamaa waliishia kuni enjoy tuu!! Dah

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa, kumbe ukiwa katikati ya Wale panel members Hali huwa nzito almost Kwa kila mtu
 
Ilikuwa twende ukweni kutoa Mahali sasa kwa shy nikaona nile tungi la kutosha ili nisone shy daa si nikazidisha ikabidi msindikizaji wangu anishauri nile ndizi mbivu ili harufu itoke si unajua Serengeti ilivyo.Nikanunua ndizi nikaona mbona bado si akashauri ninunue packet ya maziwa Lato fresh milk ninywe kukata kilevi aisee kumbe nimeharibu tumbo likaanza kuunguruma gesi tumboni ikajaa mida ikafika mezani tukakaa mezani aisee Shuzi si likanitoka tena la sauti kama talumbeta kubwa aisee nilitamani kipindi cha kukabidhiana mahali kiishe mapema aisee.NIMEJAMBA MBELE ZA WAKWE

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umetisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mm juzi tu hp tulikuwa na dua nyumbani cc ni waislam ss sura zilikuwa nyingiiiii kila mmoja akapewa zke ww utasoma sura flani ziwe 40 yule atasoma sura flani ziwe 60 na kadhalika mm nilipewa sura nyepesiiiii na nnaijua hainisumbui hata kdg coz nilipita madrasa bc umefika muda wa kuanza kusoma bakhti nzr tunasoma kwa pamoja ila kila mmoja anasoma chake bc mm nikatembelea nyota zle sauti za wenzangu wanaosoma sikusoma hata sura moja yaani kila nikijaribu naishia "bismillahi" memory haiji kabsaaaaaa cjui ni nn huwa kinatokea!

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaa sasa ungepewa Mlango ushuke nao mwenyewe ingekuaje apo Shekhe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sitosahau siku nilimwingiza Mwanamke room kwangu nile mzigo ambapo ili nifike room kwangu lazima nipite coridor ya kwa Mama. Ebana nikategea Mama kaondoka mtoto akazama ndani kama kawaida yangu sijawahi kuacha viatu nje hata siku moja nikiwa kula papuchi.

Nimekula papuchi nimemaliza nashika simu nakuta missed call 12 za Mama hapa nliisi kufa nikaingia bath room uzuri ilikua ni ndani kwa ndani nikanawa uso maana niliambiwa eti ukila mzigo jicho linakua jekundu kama nyanyaa😄

Nikampigia Mama akanambia nipo nje hapa maini yalivurugika sana tumboni nikafungua mlango akanangalia kwa asira sana machoni akanambia umekula chakula Kwa ukali, nikajibu nilikua nimelala . Ebana akanambia nenda shop kanchukulie vocha nlivoenda narudi nakuta mama na binti wako room kwangu nliona aibu sana binti alilia sana.

Ila mama aliyamaliza kwa ushauri mzito mno! Now days siishi kwa mama naendaga kumsalimia tu. Mtoto kwa mama akui
 
Back
Top Bottom