Ngoja nkupe tu like,unalogic kubwa mno na ujumbe umeufilisha vizuri mno,sema watasoma kwa juuujuu tuKwa sasa najua hata nikihamia ccm sitadumu zaidi ya miezi miwili.nitatimuliwa au kutekwa na majambazi
Nimejaribu kuangalia sifa za wabunge,viongozi na mawaziri wengi wa ccm. Kwa sasa sina. Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri naamini ntakuwa nakidhi vigezo vya kuwa kada wa CCM. nikiwaona weng ya wabunge na mawaziri wa ccm nataman niwe na akili kama zao.
Nawahusudu sana akina goodluck mlinga, akina livingstone lusinde,lucy mayenga, ally kessy. Nataman niwe na akili kama zao halafu nihamie CCM nami nile raha kama wao.
Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri chama kitakachonifaa ni ccm naamini huko ntamalizia maisha yangu kwa raha kabisa na kupumzisha akili.
Mungu apishie mbali jambo hili. Amina.
Unataka wasomi tuipende CCM. Imekula kwakokama nchi twahitaji nguvu sana kuendelea kama ndo wasomi wanaandika pumba kiasi hiki
Una uwezo gani wewe wa kufikiri? Si taahira tu kama wale wa Mirembe? Acha kujikweza wewe?Kwa sasa najua hata nikihamia ccm sitadumu zaidi ya miezi miwili.nitatimuliwa au kutekwa na majambazi
Nimejaribu kuangalia sifa za wabunge,viongozi na mawaziri wengi wa ccm. Kwa sasa sina. Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri naamini ntakuwa nakidhi vigezo vya kuwa kada wa CCM. nikiwaona weng ya wabunge na mawaziri wa ccm nataman niwe na akili kama zao.
Nawahusudu sana akina goodluck mlinga, akina livingstone lusinde,lucy mayenga, ally kessy. Nataman niwe na akili kama zao halafu nihamie CCM nami nile raha kama wao.
Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri chama kitakachonifaa ni ccm naamini huko ntamalizia maisha yangu kwa raha kabisa na kupumzisha akili.
Mungu apishie mbali jambo hili. Amina.
Haaaha mbona mimi najulikana .kwanaonifahamu watawapa taarifa humu humu.Ha ha haaaaa
Itabidi uanze kuvaa silicone wristband uandike hayo matakwa yako la sivyo utajikuta upo wodini unapewa kadi ya chama tawala. Kwa kutaka mwenyewe bila kulazimishwa, na kuomba uwapigie kura wagombea wote.
Mr. Chadema hayo maneno looo, tungekuwa tunakujua tungekufatilia kuona utafikia wapi, natumaini Magufuli 2020 haitakumaliza...lol
Mbona CCM hawahitaji ma taahira, wanaotakiwa kupimwa akili wako Chadema. Mtu wa kwanza kusema hilo ni Mch. Msigwa pale aliposema hivi; mtu atayekuwa wa kwanza kumuunga mkono Lowasa akapimwe akili. Na Lowasa sasa hivi yuko Chadema. Hivyo wenye matatizo wako Chadema.
Usihofu, inawezekana tayari ni tahira wewe...
Mbona CCM hawahitaji ma taahira, wanaotakiwa kupimwa akili wako Chadema. Mtu wa kwanza kusema hilo ni Mch. Msigwa pale aliposema hivi; mtu atayekuwa wa kwanza kumuunga mkono Lowasa akapimwe akili. Na Lowasa sasa hivi yuko Chadema. Hivyo wenye matatizo wako Chadema.
Tobaaa.. kwaiyo ambao wapo sahivi mapinduzi ni .....?
Lowasa is smartMbona CCM hawahitaji ma taahira, wanaotakiwa kupimwa akili wako Chadema. Mtu wa kwanza kusema hilo ni Mch. Msigwa pale aliposema hivi; mtu atayekuwa wa kwanza kumuunga mkono Lowasa akapimwe akili. Na Lowasa sasa hivi yuko Chadema. Hivyo wenye matatizo wako Chadema.
ameandika mantiki kubwa. Mwenye akili hawezi kuwa ndiyooooooooooooUWE TAAHIRA MARA MBILI KWA SABABU ANDIKO LAKO NDIYO CHETI CHA MILEMBE
Huyo ndiye rais!Mwenye akili timamu anaweza fanya haya?
tangu lini?Hatutaki matahira kama weweee maaana utakuwa mzigoooo. ccm tunataka waaadilifuu na wachapa kaziiiii
Kupinga kila jambo ndiyo kulikofanya mnara wa babel ukashindikana kujengwa ubishi pia hata ngazi ya familia hauna maendeleo kwakuwa muda mwingi unatumika kwenye mabishano angalia familia yako ina amani na nyingine ambayo kila baba akielekeza hivi mama anapinga maendeleo yatatoka wapi hapo?ameandika mantiki kubwa. Mwenye akili hawezi kuwa ndiyoooooooooooo
Kwa sasa najua hata nikihamia ccm sitadumu zaidi ya miezi miwili.nitatimuliwa au kutekwa na majambazi
Nimejaribu kuangalia sifa za wabunge,viongozi na mawaziri wengi wa ccm. Kwa sasa sina. Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri naamini ntakuwa nakidhi vigezo vya kuwa kada wa CCM. nikiwaona weng ya wabunge na mawaziri wa ccm nataman niwe na akili kama zao.
Nawahusudu sana akina goodluck mlinga, akina livingstone lusinde,lucy mayenga, ally kessy. Nataman niwe na akili kama zao halafu nihamie CCM nami nile raha kama wao.
Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri chama kitakachonifaa ni ccm naamini huko ntamalizia maisha yangu kwa raha kabisa na kupumzisha akili.
Mungu apishie mbali jambo hili. Amina.
Kwahiyo mnasuburin tahira mwenzenu!Usihofu, inawezekana tayari ni tahira wewe...