Siku nikipoteza Uwezo wa Kufikiri au kuwa Taahira nitahamia Chama Cha Mapinduzi

Sodoku

JF-Expert Member
Feb 3, 2016
1,095
2,429
Kwa sasa najua hata nikihamia ccm sitadumu zaidi ya miezi miwili.nitatimuliwa au kutekwa na majambazi

Nimejaribu kuangalia sifa za wabunge,viongozi na mawaziri wengi wa ccm. Kwa sasa sina. Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri naamini ntakuwa nakidhi vigezo vya kuwa kada wa CCM. nikiwaona weng ya wabunge na mawaziri wa ccm nataman niwe na akili kama zao.

Nawahusudu sana akina goodluck mlinga, akina livingstone lusinde,lucy mayenga, ally kessy. Nataman niwe na akili kama zao halafu nihamie CCM nami nile raha kama wao.


Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri chama kitakachonifaa ni ccm naamini huko ntamalizia maisha yangu kwa raha kabisa na kupumzisha akili.

Mungu apishie mbali jambo hili. Amina.
 
Kwa sasa najua hata nikihamia ccm sitadumu zaidi ya miezi miwili.nitatimuliwa au kutekwa na majambazi

Nimejaribu kuangalia sifa za wabunge,viongozi na mawaziri wengi wa ccm. Kwa sasa sina. Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri naamini ntakuwa nakidhi vigezo vya kuwa kada wa CCM. nikiwaona weng ya wabunge na mawaziri wa ccm nataman niwe na akili kama zao.

Nawahusudu sana akina goodluck mlinga, akina livingstone lusinde,lucy mayenga, ally kessy. Nataman niwe na akili kama zao halafu nihamie CCM nami nile raha kama wao.


Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri chama kitakachonifaa ni ccm naamini huko ntamalizia maisha yangu kwa raha kabisa na kupumzisha akili.

Mungu apishie mbali jambo hili. Amina.
Mbona CCM hawahitaji ma taahira, wanaotakiwa kupimwa akili wako Chadema. Mtu wa kwanza kusema hilo ni Mch. Msigwa pale aliposema hivi; mtu atayekuwa wa kwanza kumuunga mkono Lowasa akapimwe akili. Na Lowasa sasa hivi yuko Chadema. Hivyo wenye matatizo wako Chadema.
 
Kwa sasa najua hata nikihamia ccm sitadumu zaidi ya miezi miwili.nitatimuliwa au kutekwa na majambazi

Nimejaribu kuangalia sifa za wabunge,viongozi na mawaziri wengi wa ccm. Kwa sasa sina. Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri naamini ntakuwa nakidhi vigezo vya kuwa kada wa CCM. nikiwaona weng ya wabunge na mawaziri wa ccm nataman niwe na akili kama zao.

Nawahusudu sana akina goodluck mlinga, akina livingstone lusinde,lucy mayenga, ally kessy. Nataman niwe na akili kama zao halafu nihamie CCM nami nile raha kama wao.


Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri chama kitakachonifaa ni ccm naamini huko ntamalizia maisha yangu kwa raha kabisa na kupumzisha akili.

Mungu apishie mbali jambo hili. Amina.

UWE TAAHIRA MARA MBILI KWA SABABU ANDIKO LAKO NDIYO CHETI CHA MILEMBE
 
Mwenye akili timamu anaweza fanya haya?
f4c21abc280b6f3bc18dabacddad3939.jpg
 
"anayemuunga mkono lowasa, akapimwe akili" by msigwa, nafikiri ww umekidh vigezo vya msigwa, haya hamia huko unakotaka kwenda
 
Kwa sasa najua hata nikihamia ccm sitadumu zaidi ya miezi miwili.nitatimuliwa au kutekwa na majambazi

Nimejaribu kuangalia sifa za wabunge,viongozi na mawaziri wengi wa ccm. Kwa sasa sina. Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri naamini ntakuwa nakidhi vigezo vya kuwa kada wa CCM. nikiwaona weng ya wabunge na mawaziri wa ccm nataman niwe na akili kama zao.

Nawahusudu sana akina goodluck mlinga, akina livingstone lusinde,lucy mayenga, ally kessy. Nataman niwe na akili kama zao halafu nihamie CCM nami nile raha kama wao.


Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri chama kitakachonifaa ni ccm naamini huko ntamalizia maisha yangu kwa raha kabisa na kupumzisha akili.

Mungu apishie mbali jambo hili. Amina.
kwenda zako nyumbuz. weeeeeh usilete mzaha na numbari wani.
 
Uzi umepewa kichwa kibaya. Haukidhi. Ninapomwangalia Dk Mwaki msomi kama yule (Sheria) halafu anapojaribu kujibu maswali ya wazi wazi tu halafu anapojibu kisiasa. Naamini, kuwa ccm kwataka sio moyo bali zaidi ya moyo.
Niliwahi kwenda jkt kwa mujibu wa sheria. Pale getini pameandikwa; Kisomo chako, cheo chako kiache kule nje. Umeingia kambini. Kweli nadhani, ukiingia uongozi wa ccm, elimu na utashi wako, uache nyumbani kwako. Vituko mnavyofanya viongozi wetu wa ccm hata watoto wenu nyumbani nadhani wanajiuliza swali. Is ma dady OK?
 
Kwa sasa najua hata nikihamia ccm sitadumu zaidi ya miezi miwili.nitatimuliwa au kutekwa na majambazi

Nimejaribu kuangalia sifa za wabunge,viongozi na mawaziri wengi wa ccm. Kwa sasa sina. Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri naamini ntakuwa nakidhi vigezo vya kuwa kada wa CCM. nikiwaona weng ya wabunge na mawaziri wa ccm nataman niwe na akili kama zao.

Nawahusudu sana akina goodluck mlinga, akina livingstone lusinde,lucy mayenga, ally kessy. Nataman niwe na akili kama zao halafu nihamie CCM nami nile raha kama wao.


Ikitokea bahati mbaya nikapata matatizo ya kufikiri chama kitakachonifaa ni ccm naamini huko ntamalizia maisha yangu kwa raha kabisa na kupumzisha akili.

Mungu apishie mbali jambo hili. Amina.
We ni tahira usiejielewa
Unashabikia jina na sio vhama
 
Back
Top Bottom