jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Wengi wamesahau au pengine wengi walikuwa wadogo.Huu wimbo kabla Mrema hajahama chama.
Hapo alikua waziri wa mambo ya ndani na naibu waziri mkuu katika serikali ya Mwinyi..
Bunge lilikuwa la chama kimoja, lakini Mrema alikuwa siyo mpiga meza kama hawa wa sasahivi.
Kuna kitu kinaitwa “kusimamisha shilingi”, Mrema alikuwa akifanya hivyo, yani kukataa hoja/muswada usipite bila maswali muhimu kujibiwa. Kwa nyakati za chama kimoja, hilo lilikuwa jambo la ajabu sana kwasababu wote walikuwa kama rubber stamp tu.
Kwakweli Mrema was a “fiery brand politician”