Siku hizi vyama vya wafanyakazi vimekuwa haviheshimu mahakama

... Mpaka tufike 2015, kutakuwa na migomo mingi sana kama serikali itaendelea na tabia ya kuku anakunya, bata anaharisha! Double standards! Ni kwamba watu wengi wanazidi kugundua serikali yao imeshindwa kutawala (ombwe la uongozi), imeelemewa na imekosa uongozi ktk masuala ya msingi. Matokeo yake, kila mtu anaibuka na kuanza "kuongoza" jamii au jumuiya yake kwakuwa hatuna uongozi unaotungoza watu wote kama watanzania.

Hivi ni nani anayejua kama watanzania wote watahesabiwa wakati wa sensa mwaka huu? Kuna viongozi wa dini wameshahamasisha wafuasi wao kutoshiriki sensa. Umesikia kiongozi wa juu (waziri mkuu, rais) akilizungumzia hili? Haya mabilioni yaliyokopwa ili kuendesha sensa ndo kusema yatapotea bure? Jamii zingine zinaona na kujifunza kuwa kumbe inawezekana kuidindia serikali-unategemea migomo itaisha leo?

Kuna propaganda kwamba kuna vyama vya upinzani vinachochea vurugu na uvunjifu wa amani nchini. Wafuasi wao wanapigwa na kupewa kesi sehemu mbali mbali nchini. Well and good! Lakini kwa sasa, kila mtu anajuwa kwamba kama kuna kitu kitatuletea machafuko makubwa muda si mrefu basi ni religious extremism. Serikali haioni vitisho na chuki inayotangazwa na vyombo vya habari vya kidini. Imelala. Eti ndo demokrasia. Demokrasia gani kwa vyombo vya dini lakini sio madaktari wanaodai haki zao? Kuna demokrasia gani wakati wapinzani wanapigwa, wanauawa na kubambikiziwa kesi? Double standards! Kweli binadamu anajisaidia wakati kuku anakunya!
utafungiaje mwanahalisi ukiacha al-huda shame on governiment.hawajui lipi lifanywe nalipi liachwe na kwa kipindi gani.
 
Kitendo cha wabunge kuwa wevi ni jambo ambalo linapaswa kutuunganisha na tuwakatae.

Wanakula fedha, tena za tanesco; washenzi kabisa

ina maana huoni kwamba nchi imeshakuwa kichaka,hawa wanafunga barabara,madaktari wanagoma sasa waalimu huku wabunge wanaiba na hakuna sheria yeyote inayochukuliwa mpaka watoto wadogo wanaandamana hovyo hovyo kabisa nchi ya kiendawazimu hii.
 
Majadiliano ya dhati mbona ndio CWT imeyagomea??

Mimi nadhani, kitendo cha kutangaza mgogoro cha CWT dhidi ya muajiri wake ni ngao tosha ya CWT inayomlazimisha muajiri aende mezani kutafuta suluhu. Sasa wakati suluhu inafanyiwa kazi; CWT wanagoma, sasa kitendo cha kugoma hakina maana kuwa madai ya walimu yatatekelezwa kwa kitendo hicho.

Muajiri ana maoni yake na CWT ina maoni yake; wakae chini na kujadiliana.

Mimi nadhani, na nitaendelea kudhani mgomo ni pre mature.

Committee for Mediation and Arbitration ikishindwa kusuluhisha; Mahakama inasikiliza shauri; na endapo itaridhika kwamba MUAJIRI hajashughulikia madai ya waajiriwa ipasavyo; itatoa kibali cha mgomo; tena ita specify muda wa mgomo. Kwa sababu kugoma kwa walimu ni janga kwa taifa; ni kuwatia adabu watoto ambao hawana hatia; ni kuwekeza mbegu mbovu kwa ajili ya kizazi kijacho. tunaenda kwenye utandawazi, inabidi kuyafikiria haya.

Mzee nafahamu hutonielewa, kwa sababu Nurse analipwa twice as much as mwalimu kwa wale waliomaliza form four na kufanya certificate ya 2 years. Ndio maana ya majadiliano; sio migomo Mkuu Tonnyalmeida


Mkuu makame sasa tunaweza kujadili manake naona umeamua kurudi katika njia ya Kistarabu ya Mjadala.

1: Ndio maana sheria hiyo inamda maalumu wa siku 30 ya majadiliano na zinapokwisha maamzi yanakuwa yanatolewa. Katika Hili serikali ilifanya ujanja ujanja mpaka zikafka siku 50 lakini walimu tuliendelea kuwa wavumulivu..

2: Huo ni mtazamo wako makame lakini Upre mature wa Mgomo unatoka wapi wakati cheti cha mgogoro kushindikana kilishatilewa?... Mahakama zimekuwa zikitumiwa na serikali kama zilivosasa kujadili mambo ambayo yashatolewa maamzi

KATIKA CMA UAMZI UKISHATOLEWA HAUPASWI KURUDI TENA KWENYE MEZA YA MAJADILIANO UNLES HIZI PANDE MBILI ZIMEKUBALIANA ZENYEWE ZIRUDI KWENYE MAZUNGUMZO, JE TULIKUBALIANA NA SERIKALI TURUDI CMA?

3:sina Utaratibu wa kujilinganisha na Fani zingine kwani sikujenga hoja za madai kwa reference za fani nyingine ila kutokana na uzito wa majukumu yangu. Hii imekuwa ikitumiwa kama Propaganda ya kutuchonganisha watumishi wa umma.. sisi hatutaki hilo hata kama wanapewa Mil 10 kwa siku sisi tunachotaka ni stahiki zetu na sio za wabunge madak wala maengereer..


4: SERIKALI ISITOTAKA KUTOA SULUHU KWA NJIA YA MAJADILIANO MGOMO NDO NJIA SAHIHI
 
Unaniuma UFISADI wa kula hela za Walimu wanyonge unaofanywa na CWT. nimepata habari kuwa walimu wa Teachers Colleges wanataka kujitoa CWT kutokana na wimbi kali la ufisadi unaofanywa na jamaa kwa kujali matumbo yao wakidai wanatetea walimu


Hivi kwako NINI TAFSIRI YA NENO UFISADI NI NINI?

Mimi sioni Ufisadi wowote Ulofanyika.... Hili Serikali imelitumia kama Propaganda Kutugombanisha Walimu... MAKAME HIVI UNADHANI KWA KIZAZI HIKI KUWASHINDA WATU KWA PROPAGANDA UNADHANI NI RAHISI KIASI HICHO?

Unaumizwa na The so called "UFISADI WA CWT" Umefanya nini kuhusiana na UFISADI UNAOTAJWA KILA SIKU SERIKALINI?

NA HATA KAMA KUNGEKUWA NA HUO UFISADI, MTUACHIE TUTASEMA WENYEWE NA SIO WEWE WALA MAJASUSI WA SERIKALI! TUNA AKILI NA UTASHI WA KUTOSHA NA HATUHITAJI KUSEMEWA NA MTU YEYOTE.
 
Hayo maneno ya mtaani; fedha ya Serikali haitumiwi kinyemela hivyo.

Matumizi mabaya ya fedha za Serikali huwa hayafanywi na Serikali kukandamiza RAIA WAKE.

Matumizi mabaya ya Fedha za Serikali hufanywa na watu wenye tamaa ya kuneemesha matumbo yao kama akina NGELEJA; ZITTO KABWE, MALIMA nk kwenye sakata la TANESCO;

Ungeni Mkono vita dhidi ya matumizi ya aina hiyo na sio kuendelea kuikwaza Serikali inayowatumika


Asante sana kaka kwa kuita maneno yangu ni ya MITAANI kwa sababu yako ni ya Ofisini...

Huo ni mtazamo wako na haunifanyi nibadili uelewa wangu kuhusu hilo kwa sababu ninauelewa wa kutosha na ninaamini SERIKALI YA TANZANIA CHINI YA RAIS JAKAYA KIKWETE IMEKUWA IKITUMIA PESA ZA KODI ZETU KUTUKANDAMIZA




SIKIA MAKAME MDA WA PROPAGANDA UMEKWISHA, UELEWA WA WATANZANIA SAIZ UMEONGEZEKA KWA KASI SANA.. KABLA YA KUMSHAWISHI MTANZANIA JIULIZE MARA MBILI.


SOON AND VERY SOON WE ARE GOING TO SEE THE PROMISED LAND...
 
Tonnyalmeida MKUU

Najua kwanza hujafurahia uamuzi wa Mahakama Kuu Divisheni ya Ajira.

Binafsi sikutaka yafike huko, kwani waungwana wakikaa kitako na kuzungumza ndio njia sahihi zaidi ya kutatua mgogoro.

Sasa kuna hatari ya kuwa wote wakapata hasara. Walimu hawajatekelezewa madai yao; wanafunzi wakakosa masomo. Hili ni janga kubwa.

Nadhani kuna haja ya kujipanga upya na kutafuta njia muafaka ya kuwasilisha madai ili yapatiwe ufumbuzi.

Mkuu makame sasa tunaweza kujadili manake naona umeamua kurudi katika njia ya Kistarabu ya Mjadala.

1: Ndio maana sheria hiyo inamda maalumu wa siku 30 ya majadiliano na zinapokwisha maamzi yanakuwa yanatolewa. Katika Hili serikali ilifanya ujanja ujanja mpaka zikafka siku 50 lakini walimu tuliendelea kuwa wavumulivu..

2: Huo ni mtazamo wako makame lakini Upre mature wa Mgomo unatoka wapi wakati cheti cha mgogoro kushindikana kilishatilewa?... Mahakama zimekuwa zikitumiwa na serikali kama zilivosasa kujadili mambo ambayo yashatolewa maamzi

KATIKA CMA UAMZI UKISHATOLEWA HAUPASWI KURUDI TENA KWENYE MEZA YA MAJADILIANO UNLES HIZI PANDE MBILI ZIMEKUBALIANA ZENYEWE ZIRUDI KWENYE MAZUNGUMZO, JE TULIKUBALIANA NA SERIKALI TURUDI CMA?

3:sina Utaratibu wa kujilinganisha na Fani zingine kwani sikujenga hoja za madai kwa reference za fani nyingine ila kutokana na uzito wa majukumu yangu. Hii imekuwa ikitumiwa kama Propaganda ya kutuchonganisha watumishi wa umma.. sisi hatutaki hilo hata kama wanapewa Mil 10 kwa siku sisi tunachotaka ni stahiki zetu na sio za wabunge madak wala maengereer..


4: SERIKALI ISITOTAKA KUTOA SULUHU KWA NJIA YA MAJADILIANO MGOMO NDO NJIA SAHIHI
 
Hiyo habari ya promised land inatokana na Brainwashing Ndugu yangu Tonnyalmeida.

Mimi sitetei Serikali

Mimi natetea haki

Natetea amani

Natetea maendeleo

Asante sana kaka kwa kuita maneno yangu ni ya MITAANI kwa sababu yako ni ya Ofisini...

Huo ni mtazamo wako na haunifanyi nibadili uelewa wangu kuhusu hilo kwa sababu ninauelewa wa kutosha na ninaamini SERIKALI YA TANZANIA CHINI YA RAIS JAKAYA KIKWETE IMEKUWA IKITUMIA PESA ZA KODI ZETU KUTUKANDAMIZA




SIKIA MAKAME MDA WA PROPAGANDA UMEKWISHA, UELEWA WA WATANZANIA SAIZ UMEONGEZEKA KWA KASI SANA.. KABLA YA KUMSHAWISHI MTANZANIA JIULIZE MARA MBILI.


SOON AND VERY SOON WE ARE GOING TO SEE THE PROMISED LAND...
 
Unajua hakuna UBABE, NGUVU WALA VITISHO.

Serikali inataka majadiliano; CWT imeamua kutaka Public Sympathy in a wrong way. kwani Serikali iko tayari kwa majadiliano.

Ama kuhusu suala la kukosa vifaa hosp, hali kuwa ngumu na V8 kuwa na mafuta ikiwemo matengeneza ya gharama hilo nakubaliana na wewe, dawa akina


  1. Ngeleja,
  2. malima,
  3. Zitto,
  4. Kilango,
  5. Sendeka
and the list goes on; wachukuliwe hatua kali.

Tatizo, eti wabunge waliosababisha hasara ya mabilioni ambazo zingeweza kutumika kutatua matatizo mengi ya madai ya watumishi wanaundiwa kamati na wabunge wenziwao. Na huu wizi unafanywa kutokana na tamaa binafsi, political ambitions na kutaka kuwa na mapesa ya kampeni na kuhudumia majimbo.

Tutatue chanzo cha tatizo na sio kukurupuka na kutibu viashiria

Ubabe Upo makame na Ninarususiwa kutoa maoni yangu



WHO IS RESPONSIBLE KATIKA KUWAWAJIBISHA HAO UNAOWAITA WEZI? Jibu Lipo wazi ni SERIKALI inamiliki vyombo vya Dola Vyenye uwezo wa kufanya Uchunguzi
1: Idara ya Ujasusi ya Jeshi,
2:Idara ya Upelelezi ya Polisi, na
3:Idara ya Usalama wa Taifa)

Wako wapi hawa watu? na wanaposhindwa Kuwachukulia hatua kwa BlahBlah Eti uchunguzi unafanyika tehetetehhh... Mimi nisiyekuwa na hivyo vyombo wala hata kauelewa kadogo ka elimu ya Upelelezi nitafanya nini?

NDO MANA TUNASEMA SERIKALI IMESHINDWA KAZI NA HAPA TUNAKWENDA PAMOJA KWA WEWE PIA KUKIRI SERIKALI IMESHINDWA KUWACHUKULIA HATUA WATUHUMIWA WENGI TU WA KASHFA MBALI MBALI ZA RUSHWA.


GOOD JOB MAKAME AND WEL DONE
 
Kila Sehemu ina ufisadi wake

Tanesco

Hospitali kwa madaktari

Barabarani kwa Maaskari


na CWT kwa akina Mukoba
Hivi kwako NINI TAFSIRI YA NENO UFISADI NI NINI?

Mimi sioni Ufisadi wowote Ulofanyika.... Hili Serikali imelitumia kama Propaganda Kutugombanisha Walimu... MAKAME HIVI UNADHANI KWA KIZAZI HIKI KUWASHINDA WATU KWA PROPAGANDA UNADHANI NI RAHISI KIASI HICHO?

Unaumizwa na The so called "UFISADI WA CWT" Umefanya nini kuhusiana na UFISADI UNAOTAJWA KILA SIKU SERIKALINI?

NA HATA KAMA KUNGEKUWA NA HUO UFISADI, MTUACHIE TUTASEMA WENYEWE NA SIO WEWE WALA MAJASUSI WA SERIKALI! TUNA AKILI NA UTASHI WA KUTOSHA NA HATUHITAJI KUSEMEWA NA MTU YEYOTE.
 
Mkuu

naruhusiwa kutoa maoni yangu kama Mtanzania mwenye uchungu na Nchi hii


Ni kweli kabisa, Unaweza kutoa maoni yako na Tuhuma kwa mtu yoyote Ila Hupaswi kumhukumu mtu Kwa mujibu wa sheria za nchii hii... umekuwa Ukisisitiza The so called Mahakama ziheshimiwe na mimi nadhani ungekuwa wa kwanza kuziheshimu.
 
Najua kuna wana jamvi wataisema sana mahakama kuu divisheni ya kazi
 
NDIO NIKAKWAMBIA

DAWA sio kugomea madai ya walimu

Dawa Kugoma kushinikiza hawa wezi wapelekwe kwenye sheria

Haiwezekani watu wakala 3bln per month watanzania mkae kimya

Mkifunguka kwenye hilo tutaelewana;

Sio madai ambayo hali hii isingekuwepo na hayo madai yasingekuwepo

Dawa kutiba Chanzo sio dalili
Ubabe Upo makame na Ninarususiwa kutoa maoni yangu



WHO IS RESPONSIBLE KATIKA KUWAWAJIBISHA HAO UNAOWAITA WEZI? Jibu Lipo wazi ni SERIKALI inamiliki vyombo vya Dola Vyenye uwezo wa kufanya Uchunguzi
1: Idara ya Ujasusi ya Jeshi,
2:Idara ya Upelelezi ya Polisi, na
3:Idara ya Usalama wa Taifa)

Wako wapi hawa watu? na wanaposhindwa Kuwachukulia hatua kwa BlahBlah Eti uchunguzi unafanyika tehetetehhh... Mimi nisiyekuwa na hivyo vyombo wala hata kauelewa kadogo ka elimu ya Upelelezi nitafanya nini?

NDO MANA TUNASEMA SERIKALI IMESHINDWA KAZI NA HAPA TUNAKWENDA PAMOJA KWA WEWE PIA KUKIRI SERIKALI IMESHINDWA KUWACHUKULIA HATUA WATUHUMIWA WENGI TU WA KASHFA MBALI MBALI ZA RUSHWA.


GOOD JOB MAKAME AND WEL DONE
 
Mimi sina Chama,

Mimi ni Raia mwema,

Ila ukija huu, kwa kweli NITAUUNGA MKONO KWA ASILIMIA ZOTE, hata uhai ;; hapo ndio nitasema, LIWALO NA LIWE!!!!!!!

1: KUIWAJIBISHA SERIKALI HUITAJI KUWA NA CHAMA... Unaruhusiwa Kumfungulia Kesi mtu yeyote Yule ambaye unaushahidi wa Kuwa Anahujumu Taifa Hili... ULINZI NA USALAMA WA NAMNA ZOTE WA NCHI HII NI KAZI YA KILA MTANZANIA NA HATA KATIBA IMESEMA...Sina uhakika uelewa wako kuhusu hili Ukoje!

2: Sina uhakika kama wewe ni Raia mwema au lahh... ila kama unauhakika wewe ni Raia mwema ujue pia wapo wengine wengi kama wewe.

3: Unasubiri uje?????????? unanishangaza sana... KAMA UNAPATA NGUVU ZA KUJA JF NA KUWEKA POST ZAKO ZINAZOONYESHWA KUUMIZWA KWA NAFSI YAKO KWA THE SO CALLED MAHAKAMA IMEDHARAULIWA, KWA NINI UNAKOSA NGUVU ZA KUANZISHA MABADILIKO KATIKA NCHI HII NA KUSUBIRI WENGINE WAFANYE? YOU ARE SO WEAK THEN Unasubiri wanaume waanzishe halafu unajiita jasiri na mzalendo? nani afanye kama sio wewe? kwa Hiyo umekuja humu kuleta Porojo wa Kuleta Mabadiliko ni wengine?


SHAME ON YOU MAKAME..

 
Kuna maelezo yalikuwa hayajatimia ya CWT na Serikali.

Kwa kuwa Mahakama ni chombo cha Sheria kinacholenga kutoa HAKI; wamaziamuru pande zote mbili kukamilisha maelezo ili Mahakama itoe Shauri.

Mahakama, haijatoa hukumu; na itatoa Shauri baada ya kupokea maelezo hayo.

na shauri la Mahakama linaweza kuwa in favor of CWT.

Ila kwa kitendo walichokifanya cha kujichukulia sheria Mkononi kabla ya Mahakama kutoa shauri, sijui reaction ya Mahakama itakuwaje.

Nia yangu sio ku ku prove wrong, ila ni kujadili hii hali.

Kama maelezo yalikuw aHayajatimia Kosa lilikuw la CWT au CMA? Jamani mbona mnatetea mambo ya Ajabu ajabu?

Hakuna mwalimu aliyejichukulia Sheria mkononi Makame usipotoshe Watu,, Walimu tuliingia kwenye Mgomo kwa CMA kushindwa Kutatua Mgogoro na wakatoa CERTIFICATE.. Sasa hapa Sheria mkononi ilichukuliwa wapi? THIS IS REDICULOUS..


Maamzi ya Mahakama Yalikuw ayanajulikana Hata Kabla Ya Kesi kuanza Kusikilizwa... Haina haja ya Kujadili


NA HILI NDILO LINALOZIDISHA UGUMU WA MIOYO YA BAADHI YA WATANZANIA KAMA MIMI.
 
Tonnyalmeida


  1. Serikali na CWT waliamuriwa kwenda kwenye Kamati ya Usuluhishi na Mahakama. Wala Serikali haikumuita CWT kwenye hio Kamati, nadhani hukunielewa pale. Kamati ya usuluhishi inavyoelekea imeshindwa kumaliza mgogoro (kwa mujibu wa CWT). Hatua inayofuata ndio pande mbili ziende Mahakamani. Wakaenda, wakaambiwa wakamilishe maelezo yao ifikikapo Tarehe 31/07. CWT ikaitisha mgomo kabla ya kukamilisha kipengere hicho.
  2. Kukusu Court Injuction pia nishaitolea maelezo, labda hukusoma thread; kuwa ni IMPLIED kwamba pande hizo zimeagizwa kukamilisha maelezo. Hapo manake ni kwamba hakuna kuchukua uamuzi wowote kwa upande wowote mpaka mahakama itakapotoa shauri.
  3. Hivyo Kipengele chako cha tatu hakina mashiko

Nawasilisha

Asante kwa Kuwasilisha, najibu hoja kama ifuatavyo

1: Kwa Hiyo iliyokuwa inasuluhisha ni CMA au Mahakama, Kama CMA ilishindwa yenyewe iliomba maelezo ya ziada ya nini? na kaka ilijua regardless ya maamzi ya CMA bado ingeomba maelezo ya Ziada ilikuwa na sababu gani ya kupeleka CMA?

2: Cort Injuction Unaitolea maelezo wewe kama nani? mimi sikuhitaji maelezo nlihitaji uilete hapa nikiwa naamini UNAYO MIKONONI MWAKAO ndio maana unaitolea maelezo,.. KAMA HUKUION NI BORA UNGEKAA KIMYA

3: Asante sana NAona HOja zako ndizo pekee zenye mashiko.
 
kwa kuwa naona mahakama inatoa maelekezo lakini wanayapinga. Au ndio chachu ya kusema nchi isitawalike?


  1. madaktari --hawakuheshimu maamuzi halali ya mahakama;
  2. walimu ----- wamesema hawatoheshimu.

kitendo cha kwenda kinyume na amri za mahakama sio ishara njema, na kitatufanya tuwe kama majahili. Hatuna majadiliano, hatuna heshima, hatujui mamlaka wala hatuna ustaarabu.

Tuheshimu mahakama

mahakama ikiacha kupakatwa na serikali ikajiheshimu na kutoa maamuzi ya haki na sisi ndio tutaiheshimu la sivyo mwendo mdundo
 
Asante Tonnyalmeida

Mimi niko weak. Siwezi nikajiita mbabe.
La muhimu Jaji kafuta mgomo

LIWALO NA LIWE

1: KUIWAJIBISHA SERIKALI HUITAJI KUWA NA CHAMA... Unaruhusiwa Kumfungulia Kesi mtu yeyote Yule ambaye unaushahidi wa Kuwa Anahujumu Taifa Hili... ULINZI NA USALAMA WA NAMNA ZOTE WA NCHI HII NI KAZI YA KILA MTANZANIA NA HATA KATIBA IMESEMA...Sina uhakika uelewa wako kuhusu hili Ukoje!

2: Sina uhakika kama wewe ni Raia mwema au lahh... ila kama unauhakika wewe ni Raia mwema ujue pia wapo wengine wengi kama wewe.

3: Unasubiri uje?????????? unanishangaza sana... KAMA UNAPATA NGUVU ZA KUJA JF NA KUWEKA POST ZAKO ZINAZOONYESHWA KUUMIZWA KWA NAFSI YAKO KWA THE SO CALLED MAHAKAMA IMEDHARAULIWA, KWA NINI UNAKOSA NGUVU ZA KUANZISHA MABADILIKO KATIKA NCHI HII NA KUSUBIRI WENGINE WAFANYE? YOU ARE SO WEAK THEN Unasubiri wanaume waanzishe halafu unajiita jasiri na mzalendo? nani afanye kama sio wewe? kwa Hiyo umekuja humu kuleta Porojo wa Kuleta Mabadiliko ni wengine?


SHAME ON YOU MAKAME..

 
Asante Tonnyalmeida

Mimi niko weak. Siwezi nikajiita mbabe.
La muhimu Jaji kafuta mgomo

LIWALO NA LIWE

1: Asante kwa kukiri wewe ni Dahifu sawa na Serikali Ya Kikwete
2: Kuwa na msimamo is not synonymus na kuwa MBAME.. Na sipendi watu na Serikali ya Kibabe ila napenda watu Na serikali yenye msimamo tena katika mambo ya msingi
3: LIWE LIWALO
 
NDIO NIKAKWAMBIA

DAWA sio kugomea madai ya walimu

Dawa Kugoma kushinikiza hawa wezi wapelekwe kwenye sheria

Haiwezekani watu wakala 3bln per month watanzania mkae kimya

Mkifunguka kwenye hilo tutaelewana;

Sio madai ambayo hali hii isingekuwepo na hayo madai yasingekuwepo

Dawa kutiba Chanzo sio dalili

1: Unataka nani agome kushinikiza hilo? Kama sio wewe?
2:samahani makame kumbe wewe sio mtanzania Nlikuwa na jadili nikijua wewe ni mtanzania kumbe ndio maana hata hali halisi ya mahakama zetu huzijui... WEWE NI RAIA WA NCHI GANI? Manake umesema (watanzania mkae kimya) inaonyesha umejitoa kwa WATANZANIA
3: (Mkifunguka)
ndio sisi watanzania ndo hivi tumeshaanza kufunguka, wewe mgeni subiri utajionea

4: Chanzo ni uzembe wa serikali na kuna njia mbalimbali za kuiwajibisha na Mojawapo ni migomo iwe halali au haramu.. Kipindi Misri wanaiondoa serikali kwani walipata KIBALI CHA MAHAKAMA?
 
Back
Top Bottom