Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,521
- 6,517
Vyovyote iwavyo ila vimbau mbau siwataki hata kwa kuonja.Unapenda kukutana na mifangasi au?
Vyovyote iwavyo ila vimbau mbau siwataki hata kwa kuonja.Unapenda kukutana na mifangasi au?
Na wao pia wanautam lakn kumbukaVyovyote iwavyo ila vimbau mbau siwataki hata kwa kuonja.
Hapo sasa mtaniua kwa presha yakukosa mume
Akipita iwe kuna watoto, vijana, wababa au wababu lazima wageuke nyuma.
Kulikoni wana MMU kwanini imekua hivi siku hizi?
View attachment 402651
Wanaume ni wajinga jameni!!! Sijui kwa nini wako hivyo!!!!!
View attachment 402652
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] umenivunja mbavu mkuu, daah! Police jamii te te teeh...2nasoma Plate Number mkuu. Cc n police jamiiiii
Hao wachina wenyew ni flat ila sisi wanatushika masikio tuharibikiwe huko mbeleni.Hapan! nyamaza kulia... Waone wachina hapo narung'ombe.. wanauza bei poa!...
Ohoo! nilidhania wanaharibu nyuma tu kumbe hata mbeleni!?...🙁🙁..Hao wachina wenyew ni flat ila sisi wanatushika masikio tuharibikiwe huko mbeleni.
Akili kumkichwa
Akipita iwe kuna watoto, vijana, wababa au wababu lazima wageuke nyuma.
Kulikoni wana MMU kwanini imekua hivi siku hizi?
View attachment 402651
View attachment 402652
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wataviongezaSasa cjui tukianza kupenda wenye vichwa vikubwa kama helmet itakuwaje, maana kwenye ngozi mlijichubua kwenye makalio na matiti mkafanya surgery
ha ha umetishaWanawake c wanaangalia pochi cc tunaangalia nyuma ko tuwieni radhi