Gorgeousmimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2010
- 9,296
- 7,688
ha ha ha labda lol...maana ni hatare!Yani sijui tu tufanyeje au tuweke ya mchina?![]()
ha ha ha labda lol...maana ni hatare!Yani sijui tu tufanyeje au tuweke ya mchina?![]()
Duh kweli nyie hamtabiriki
kwahio ikiwa kubwa ana ujinga mwingiWanaangalia tabia kama ni nzuri au lah!
Aaaah ok kumbe unaweza kuchage gia angani eeeehBe ur self.. Ukisema ufuate tunachotaka sisi utajikuta huna direction... huwa tunabadilika kulingana na majira/ nyakati...
Tena adi reverse natupiaa...Aaaah ok kumbe unaweza kuchage gia angani eeeeh
Naona kalianzisha balaa sasa yuko mung'andaUpo mahabusu
Hapan! nyamaza kulia... Waone wachina hapo narung'ombe.. wanauza bei poa!...ha ha ha.....tusokuwa na nyuma tulie tu lol!!
Hapan! nyamaza kulia... Waone wachina hapo narung'ombe.. wanauza bei poa!...ha ha ha.....tusokuwa na nyuma tulie tu lol!!
Jamani mbona kila siku mnabadilika?mlisema mwanamke tabia sasa imekuaje tena?
Hapo sasa mtaniua kwa presha yakukosa mumeNa bado tutahamia kwenye miguu
Kaa ukariri hapo na brain yako, kama huna NYURA ya maana utaishia kuangalia wenzio. Nyumba choo, bafu hata nje utaoga.Uzuri wa mwanamke ni brain Kama kichwani hamna kitu uzuri wote bure bishaa
Kaa ukariri hapo na brain yako, kama huna NYURA ya maana utaishia kuangalia wenzio. Nyumba choo, bafu hata nje utaoga.