Siku hizi mapenzi kitandani ni vita

Siku hizi mapenzi kitandani ni vita

Wanaume tumeumbwa mateso

01. utoke nyumbani ukatafute hela
02. ukirudi uingie kitandani umridhishe mwanamke
03. hakikisha unatoka jasho
04. hakikisha unachelewa kumwaga
05. udamke asubuhi uwahi kazini
06. uache hela ya matumizi
07. ulipe ada
08. usisahau kumlinda mwanamke wako asichepuke
09. kagua simu ya mwanamke wako mara kwa mara
10. kaa roho juu siku zote kwa sababu wanawake hawaaminiki
11. hakikisha haufulii, wanawake wa siku hizi wanasema hawapendi shida.
12. ila la muhimu zaidi, hakikisha unatoka jasho wakati wa tendo

kazi kweli.
 
Wanaume tumeumbwa mateso

01. utoke nyumbani ukatafute hela
02. ukirudi uingie kitandani umridhishe mwanamke
03. hakikisha unatoka jasho
04. hakikisha unachelewa kumwaga
05. udamke asubuhi uwahi kazini
06. uache hela ya matumizi
07. ulipe ada
08. usisahau kumlinda mwanamke wako asichepuke
09. kagua simu ya mwanamke wako mara kwa mara
10. kaa roho juu siku zote kwa sababu wanawake hawaaminiki
11. hakikisha haufulii, wanawake wa siku hizi wanasema hawapendi shida.
12. ila la muhimu zaidi, hakikisha unatoka jasho wakati wa tendo

kazi kweli.
Duh
 
Wakuu siku hizi wadada wamekuaje kwenye swala la mapenzi?au ni kuwa zamani walikuwa hawapo huru kuongea?bro siku hizi ukipata demu mkamue sana narudia tena usimuonee huruma kitandani jana nipo gheto sasa kuna mademu wanasukana huku wanapiga story eti wanasimuliana kuwa amepata mkaka ila akienda hata jasho hatoki yaan wamemsema acha nikagundua hivi viumbe si vya kuvionea huruma
Ndiyo maana nawaasa wanaume wenzangu, piga mazoezi, kula vizuri na maji ya kutosha ili mfike hata dakika 40 basi.

Lakini mtu anakuja na ku-dis eti dakika 5 zinatosha! Seriously? Pumbavu zao!
 
Huwa sihangaiki kumridhisha mwanamke,najiridhisha mm kwanza.
 
Wakuu siku hizi wadada wamekuaje kwenye swala la mapenzi?au ni kuwa zamani walikuwa hawapo huru kuongea?bro siku hizi ukipata demu mkamue sana narudia tena usimuonee huruma kitandani jana nipo gheto sasa kuna mademu wanasukana huku wanapiga story eti wanasimuliana kuwa amepata mkaka ila akienda hata jasho hatoki yaan wamemsema acha nikagundua hivi viumbe si vya kuvionea huruma
hahahaha
 
Haswaa, au wale ambao wameombana gemu siku moja wanafanya kumaliza hamu zote na kuoneshana kuwa wao sio watu wa mchezo mchezo....mtu wako ambae uko nae siku moja ufanye kwa fitna ili ugundue nini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ishu ni kumridhisha sio kukomoa... wala fujo
 
Mtu ulie nae...kuna kipindi hadi mnasahau kwichi kwichi, ile kukaa na mtu umpendae huwa ni raha sana.. uwepo wake unajihisi kama upo paradise .. kwichi kwichi inakuja kamilisha ... na inakuwa ya afya na furaha ...mnamaliza miili ipo vizuri na afya ya akili ikiwa imeongezeka na mwili na flow ya damu ikiwa nzuri, yani mnakuwa mmejawa na joy , utani utami wa hapa na pale aisee... rahaaa sanaaa
Ila rudi kwny mada... wanawake wengi wanalalamika kuwa hawaridhishwi na wanaume zao walionao..
 
Unajipa moyo tu
Mtu ulie nae...kuna kipindi hadi mnasahau kwichi kwichi, ile kukaa na mtu umpendae huwa ni raha sana.. uwepo wake unajihisi kama upo paradise .. kwichi kwichi inakuja kamilisha ... na inakuwa ya afya na furaha ...mnamaliza miili ipo vizuri na afya ya akili ikiwa imeongezeka na mwili na flow ya damu ikiwa nzuri, yani mnakuwa mmejawa na joy , utani utami wa hapa na pale aisee... rahaaa sanaaa
 
Kutoka jasho sio tatizo unaweza ukapiga dk 2 ukatoka jasho chumba joto tupu kwann usitoke jasho.

Mapenz sio Vita,mapenz is like love story book kila ukifungua ukurasa Ni mtamu na hao walio kuwa wanamsema baharia Ni wale ambao wanapigwa masaa matano lakini hawafiki kabisa kwahyo wanakuwa Kama vichaaa vile yaaan.

Kwa maaana mawanamke asipofika kilelen anakuwa na hasira flan hv na kuwa temporary insanity anaweza mpa hata kichaaa ili mrad afike tu.

Mwanamke hata kwa kidole gumba anafika kileleni vizuri

Sema vijana mnaharaka Sana ya kula papuchi ndio maaana mnadharaulika Sana Mana mwanamke Ni chungu mpka kushika Moto inahtajika dk 30 hadi 45 ndio anakuwa Yuko heat kabisa.

Mkiacha papara utapiga wanawake mpaka uchoke Mana huwa wana ladhimisha wenyewe wakishajua unampatia

Kila mwanamke ana angle yake yaan ukimpatia hyo dk tu anakwambia katosheka kitafuta Ni kuonesha urijar wako tu wa misuli ya mashine.
Ni kweli kabisa mkuu... unakuta mwanamke anakojoa hadi anaishiwa nguvu kabisa... wakati huo ww ndio kwanzaaa...bado
 
Ndiyo maana nawaasa wanaume wenzangu, piga mazoezi, kula vizuri na maji ya kutosha ili mfike hata dakika 40 basi.

Lakini mtu anakuja na ku-dis eti dakika 5 zinatosha! Seriously? Pumbavu zao!
Tatizo wengi wao wanakula chipsi mishikaki.. soda kibao... ugali anakula sembe kaugali kenyewe saizi ya mtoto. Unategemea Kwny game ataenda zaidi ya dk5 ?
 
Back
Top Bottom