baba mausingizi
Senior Member
- Jun 15, 2016
- 189
- 120
Wakuu siku hizi wadada wamekuaje kwenye swala la mapenzi?au ni kuwa zamani walikuwa hawapo huru kuongea?bro siku hizi ukipata demu mkamue sana narudia tena usimuonee huruma kitandani jana nipo gheto sasa kuna mademu wanasukana huku wanapiga story eti wanasimuliana kuwa amepata mkaka ila akienda hata jasho hatoki yaan wamemsema acha nikagundua hivi viumbe si vya kuvionea huruma