WILLIAM MARCONI
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 2,307
- 952
Wadau ni muda sasa toka sintofahamu ya Dr. Slaa ilipozungumzwa na mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman A. Mbowe.
Na leo japokuwa hajaliongelea moja kwa moja lakini ameliongelea kinyume nyume. Ni rai yangu sasa tuache kuliongelea hilo jambo kwa mbwembwe au muhemuko.
Ni wazi siku Dr. Slaa akiongea anaweza akabadili upepo wa kisiasa ambao tayari wanaCHADEMA wanaamini wameshavuka.
Tumuache Dr. Slaa sasa ufanye maamuzi yake binafsi kama ni ya kurudi au kuachana na siasa bila kejeli au dhihaka. Hapa pana vita isiyoonekana kwa macho na kauli ya Dr. Slaa inaweza kuwa na athari endapo ataendelea kutukanwa kisha akaamua tukose wote kama yule mama na nabii Suleman.
Nawasilisha.
Dr zslaa anacheza mchezo wimbo haujui. Yeye kaingia kwenye private company ya Mtei (akili) na ndesamburo (hela). Kafanya mazito kukinyanyua chama lakini wente kampuni wamesuniri vya kutosha sasa wamechoka: wanataja RETURN ON INVETMENT, warudishe uwekezaji wao. Angekuwa tajiri kidogo..
...., lakini Lowassa hamfikii. Sana sana ajighsramie mwenyewe na yeye lofa, wenye malu haeataki kulipia campaign zingine. Wamemtosa Slaa kwa sabanu hiyo bora aende Roma apumzike watu awaachie biashara yao. WM.