morenja
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 4,518
- 1,855
Wadau ni muda sasa toka sintofahamu ya Dr. Slaa ilipozungumzwa na mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman A. Mbowe.
Na leo japokuwa hajaliongelea moja kwa moja lakini ameliongelea kinyume nyume. Ni rai yangu sasa tuache kuliongelea hilo jambo kwa mbwembwe au muhemuko.
Ni wazi siku Dr. Slaa akiongea anaweza akabadili upepo wa kisiasa ambao tayari wanaCHADEMA wanaamini wameshavuka.
Tumuache Dr. Slaa sasa ufanye maamuzi yake binafsi kama ni ya kurudi au kuachana na siasa bila kejeli au dhihaka. Hapa pana vita isiyoonekana kwa macho na kauli ya Dr. Slaa inaweza kuwa na athari endapo ataendelea kutukanwa kisha akaamua tukose wote kama yule mama na nabii Suleman.
Nawasilisha.
Umeongea ujafanya utafiti. Fanya utafiti nikwamba watu wanaomtukana Dr Slaa humu jf ni wanaccm na act .sasa sijui utawa ambia nini wewe mwanachadema wakusikie waache kumtukana Dr.wakati wao wanatumia nafasi. Hiyo kujaribu kubomoa chadema.ataa Dr ni member. Hapa jf na anajua wanaomtukana sio prochadema .sana sana alikuwa Yeriko nautaona alimjua na alimkanya na Yeriko .amewacha .sana sana sisi wanachadema kauli zetu ni zakuomba Dr aingie uwanjani basi.natoka tuelezwe yupo mapumziko tumenyamaza.nimesema nikwambie hivyo maana isije onekana wanachadema ndio tulikuwa tuna mtukana Dr kipenzi wetu baba wa taifa jipya Tanzania baada ya 25 october.