Mpunumpunyenye
Senior Member
- Dec 7, 2011
- 114
- 50
Tarehe 12 ya mwezi wa nane kama mnakumbuka majira ya mchana ndugu Ulimboka alipokelewa katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl Nyerere na kutuhaidi ataongea kila kitu kuhusu yaliyomkuta na kuweka hadharani watekaji wake na sababu walizopelekea kumteka bada ya siku 40 kwa maana kuanzia siku hiyo, sasa kwa hesbu za kawaida leo ndio zimetimia.
TUNAKUSUBIRI BWANA ULIMBOKA.
TUNAKUSUBIRI BWANA ULIMBOKA.