Sikiliza kikao cha Mbowe na Watanzania huko Marekani

Acheni majungu, wacha twone!Viongoz wa gvt ya CCM wameshndwa ati mnaanza kumcngzia mbowe,kama kiongoz wa kambi ya upnzani!
 
Hotuba nzuri sana pamoja na maswali na majibu yanapatikana kwenye hii link. Naomba msaada kwa mtu yeyote ambaye anaweza nisaidia niweze kui-download.
Kama una internet Download Manager ni rahisi sana kama huna install halfu tembelea link husika itakupa option ya ku-download
 
hata tatizo hawataki tuendelee wanasaidiwa na sugu lakini wanamchukia,
mi namuheshimu mbowe kuliko dr.slaa
 
wanatafuta wafadhili wa kuanzisha vurugu tanzania; wanajua wananchi hawana uwezo wa kuwaandaa; wataletwa majambazi waauaji kutoka amerika kufanya uharibifu katika nchi
 
wanatafuta wafadhili wa kuanzisha vurugu tanzania; wanajua wananchi hawana uwezo wa kuwaandaa; wataletwa majambazi waauaji kutoka amerika kufanya uharibifu katika nchi
Kama vile CUF ilivyoleta mapanga kukata watu Zanzibar, eeh?
 
Ndugu,


Zile dukuduku za wananchi zitakuwa zimepungua kama sio kuisha kabisa. Naomba walio/wanao/watakaomsikiliza wafikishe ujumbe kwa wengine kwamba CHADEMA hakuna udini, ukabira wala umasikini. Thank U BigPublisher

Mtake radhi hapo kwenye RED
 
Ameshiriki maombi ya kikristo..aisee nimeelewa
Ame
American annual prayer breakfast si ya Wakristo peke yao. Hukaribishwa wabunge wa dini mbalimbali kutoka nchi za nje.
Lakini, hata kama ingekuwa ni ya Wakristo peke yao tatizo liko wapi? Viongozi wetu wa Kiislamu wanapokwenda Iran, Saudi Arabia, au hata Macca umeshamsikia yeyote akilalamika? Endelea kuelewa.
 
Ame
American annual prayer breakfast si ya Wakristo peke yao. Hukaribishwa wabunge wa dini mbalimbali kutoka nchi za nje.
Lakini, hata kama ingekuwa ni ya Wakristo peke yao tatizo liko wapi? Viongozi wetu wa Kiislamu wanapokwenda Iran, Saudi Arabia, au hata Macca umeshamsikia yeyote akilalamika? Endelea kuelewa.

Hakuna tatizo kama angeenda kuhiji (naona siku hizi wakristo wanaenda kuhiji ijeruslam..kama ibada) kama makkah etc

Saudia, Iran viongozi hawaendi kwenye prayers; wanaenda kuongea na watawala wa nchi hizo (goverments relations)

Hizo prayers za kikristo kwa wakristo; nyalandu, mbowe etc...nafikiri wanatafuta american evangilists supports, maana huko nasikia wameanza kuichukua tangu enzi za bush, za crusade huko middle east..(kueneza ukrsito kwa mtutu wa bunduki)
 
Hakuna tatizo kama angeenda kuhiji (naona siku hizi wakristo wanaenda kuhiji ijeruslam..kama ibada) kama makkah etc

Saudia, Iran viongozi hawaendi kwenye prayers; wanaenda kuongea na watawala wa nchi hizo (goverments relations)

Hizo prayers za kikristo kwa wakristo; nyalandu, mbowe etc...nafikiri wanatafuta american evangilists supports, maana huko nasikia wameanza kuichukua tangu enzi za bush, za crusade huko middle east..(kueneza ukrsito kwa mtutu wa bunduki)
Topical,'
Mimi ni Mkristo lakini katu hutaniona nakwenda Jerusalem. Mwalimu Nyerere alikuwa Mkristo safi na alikiataa kabisa mialiko ya kuitembelea Israel madhali Waisraeli wanaendelea kuwakandamiza Wapalestina. Achana na hao evangelicals. They are just a cultural nuisance.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mbowe.JPG


Mbona hapa kama anafanana na Nyerere.
 
Katika mazungumzo yake nimependa hoja yake ya rasilimali.

Mbowe alisema Watanzania siku zote tunaongelea rasilimali kama Wanyama Mlima kilimanjaro madini na ardhi nzuri na kusahau rasilimali kuu ya kila nchi yaani Watu.
Watu ndiyo rasilimali kuu ya Taifa la Tanzania lakini rasilimali hiyo tumekuwa tukiipuza na kuto ipa kipaumbele. nci haiwezi kuendelea kama inapuuza watu wake. Kama Taifa ni lzima tusomeshe watu wetu katika viwango vya juu kabisa. Watu ni azima wapewe elimu yenye uwezo wa kutatua matatizo yao binafsi na ya Taifa.
serikali ya CCM imekuwa ikipuuzia Elimu kwa muda refu sasa. Bajeti ya Elimu ni finyu sana, mazingira ya shule za msingi sekondari na vyuo ni duni mno. Hali za walimu kuanzia chekechea hadi chuo kikuu ni duni mno. Mambo ambayo yamezorotesha ubora wa Elimu yetu kitaifa.
Uamuzi wa serikali ya CCM kuchezea rasilimali ya watu ni janga letu wote, kama watanzania ni lazima tukae chini tukune bongo zetu na kuangalia ni vipi tutatoa mchango wetu kulikwamua Taifa.

Aliongelea suala la woga. Watanzania ni waoga tunaogopa kudai haki na utawala bora kwa sababu tunaogopa kufa au pengine tunadhaani kwamba kuna kundi la Watanzania mashujaa ambao watatupigania hadi kufa ili haki na heshima yetu ipatikane.

Hoja ya rasilimali na ile ya uoga niliziona ni muhimu sana.

CCM elites have to quit thinking Education is a privilege.We Tanzania deserve better and quality education because it is our right of birth. Also, we always have to remember that we die once in our life time. Death is inevitable. No body can extend his life span by being coward because death is etch-printed within life itself.
 
Back
Top Bottom