johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,995
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu alialikwa nchini Marekani Kutoa mihadhara katika Vyuo Vikuu mbalimbali
Juzikati Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe alialikwa Ubalozi wa Marekani pale Drive Inn cenema ya zamani
Kisha Balozi wa Marekani na Ujumbe wake wamemtembelea mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Bilionea Sugu Moto Chini jijini Mbeya kwao akina Mwabukusi
Chadema mmetisha sana
Mungu wa Mbinguni Ibariki Chadema 😀
Juzikati Mwenyekiti wa Chadema mh Freeman Mbowe alialikwa Ubalozi wa Marekani pale Drive Inn cenema ya zamani
Kisha Balozi wa Marekani na Ujumbe wake wamemtembelea mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Bilionea Sugu Moto Chini jijini Mbeya kwao akina Mwabukusi
Chadema mmetisha sana
Mungu wa Mbinguni Ibariki Chadema 😀