Sikiliza Chawa huyu, mpaka inatia kinyaa!

Sikiliza Chawa huyu, mpaka inatia kinyaa!

Mpaka inatia kinyaa. Linatafuta uteuzi, lakini ukweli linaujua kuwa hizi hela ni za walipa kodi na si za samia!

Nshomile takataka
Wewe ndiyo unatia kinyaa. Kwani huko kwenu ulikozaliwa mnayo Stendi kama hiyo??

Acha mtu atumie uhuru wake wa kujieleza, it costs nothing
 
Mpaka inatia kinyaa. Linatafuta uteuzi, lakini ukweli linaujua kuwa hizi hela ni za walipa kodi na si za samia!

Nshomile takataka
-Pesa za Samia?
If that's the case:
-Madeni yote ni ya Samia
-Mauaji ya kimbari ya 29th-Oct-2025 ni ya Samia.
-Kikosi cha kigaidi cha wasiojulikana ni cha Samia.
-Abayebambikia watu kesi ni Samia.
-Aliyezika watu kwenye makaburi ya halaiki ni Samia.
 
Uhuru wa kujieleza tanzania niwakuipamba serekali tu, ole wako uzungumzie changamoto za wananchi na ufisadi wa baadhi ya viongozi, huna bahati!.
 
Back
Top Bottom