gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,272
- 20,714
- Thread starter
- #61
Last edited by a moderator:
baba watoto safari hii alikuwa na msululu wa watu wa kumega.
yupo wa mwisho soon atarudi. safari hii hadi mm nimemumiso klorokwini wangu
eee kikufie tena! mmhhh kumbe niende kwa tahadhari, nisijeishia kwa lulu segerea! lol.dah! cacico ndo maana nakupenda wewe manake unajua kazi yako, ila kibabu chako Asprin sikigusi kitanifia bure, na Young_Master ni miongon mwa rafiki zangu wa kiume, mpe salam zangu hizo.
nakuamni sana fisadi Ero, ngoja tuwafundishe mambo ya mjini sisi magwiji wa jiji.
this wk end nimekuja na staili mpya inayotwa mfyonzo hii ni kiboko ya zote.
eeh! jamani sasa hii uitoe kwa mtu ambaye aonyesha hata nia ya kuhonga fukwe au ghorofa siyo kwa vitz kama Bishanga.
manjonjo yake nita kupm manake hapa lol siyo penyewe kabisaa nina wadogo humu nisije wakuza bure?
Hi love?
teh teh teh. mie ninaetaka nimpatie ananipa zaidi ya yote hayo. ananipa his trust.
kwangu mie hio ni major. wote huwa hawamuamini Ero, wanaona mchakariko sana.
mm na ww tena? mie najua wampenda kuliko hata nimpendavo. utaanza ww shosti wore not.
hilo nalo neno basi mwaya nitakufundisha ila kweli lazima huyo umpaye awe ni mtu unaye mpend sana manake ina raha ya ajabu duniani lol tena kwa wote wawili.
hilo nalo neno basi mwaya nitakufundisha ila kweli lazima huyo umpaye awe ni mtu unaye mpend sana manake ina raha ya ajabu duniani lol tena kwa wote wawili.