gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
wana jf ni asbh kazi zinaenda na misuli inabana ila naona niwaletee wafuato na nafasi zao katika moyo wangu na maisha yangu,
Smile LEVEL, Eiyer babe S hawa ni wadogo zangu wa moyoni nawapenda sana. and i will always be there for them. Preta charminglady Cantalisia Kaunga @Smillinggairl sweetlady Kipipi Roulette BADILI TABIA Mwanajamii one hawa ni my true female friends. mnanafasi kubwa moyoni mwangu
Zinduna huyu ni kungwi na nyakanga mwenzangu.
AshaDii Mama Ngina hawa ni mama ushauri wenzangu
Kongosho Erotica hawa ni wazee wa site kama mimi so siri zetu tutaambiana chumbani.
Asprin Dark City cartura mito Speaker Mtambuzi BAK Bishanga( ila ingawa nilikusuta sana lkn unathamani sana kwangu) hawa niwazee wenzangu wa baraza.
Mr. Rocky Bazazi boss hawa ni male friends wangu. they are ma true brothers.
Maprucino MziziMkavu hawa ni madaktari wangu
Kaizer huyu ni wa moyo wangu
ambao sijawataja nawapenda sana so niambieni ninyi ni nani kwangu kila mtu kwa cheo chake ama ambaye kaona cheo chake kwangu siyo hicho naye pia aniambie. but real ilove jf.