sijui wewe ungependa uwe nani.........?

hahahahah lol .. I like the way you are :)
sasa Captain fanya fanya mambo basi.. dahhhh mwenzio sina hamu kabisa kipande hii..
hahahah nitumie kwa kutumia phone au email ili yafike haraka lol :) na mwaka huu imeanza mapema :(
Vipi lakini huko nyanda za juu ??


LOL! haya rubani ngoja niangalie...Nyanda za juu kuna joto la mama nitazamie ukitoka nje utadhani kuna moto unawaka huku ni vikaptula na vimini tu..yako njiani rubani nawaombea Mungu msipate nanihii nyingi kama msimu uliopita lakini kwa vile imeanza mapema basi kazi mnayo. Natuma kwa Fedex :):) yatafika Jumatatu :)...
 
Me napenda niwe Custor Care wako ktk Mtandao wa Tigoooo!!!,
Express Your Self figganigga.
Habhari yako bhana.
Madame B uwe wa figganigga eeh! kwangu naomba kuingie katika kundi jipya la wapish. naamin wajua sana kupika kama mimi so tutaanza kuwapikia @figgaigga mamsosi ya kufa mtu.
 
Last edited by a moderator:
Would love to be your little loving son!
Ronn M duh! najikuta mwili wote ukisismuka kwa hii nafasi nami nakuweka pasi shaka yoyote. My little loving son is called Gwin and i love him soo much ma dear so you are him now.
love you my son
 
Last edited by a moderator:
usema ukweli napenda niwe mimi.
Sabubu sintoweza kuwa mtu mwingine yeyote. + I like the way I'M. :mod:

haya kumbe afrodenzi ushawah lol! haya niambie hiyo ni kwa BAK kwangu mimi waipenda nafasi gani? miye nakupenda lakin
 
Last edited by a moderator:
is it ma dedication? or?
No its not yours gfsonwin.

This is your dedication::A S-heart-2:..

Masai+with+Mzungu.jpg
 
Last edited by a moderator:
No its not yours gfsonwin.

This is your dedication::A S-heart-2:..

Masai+with+Mzungu.jpg
thanks but BADILI TABIA na Kongosho wameiona? ngoja nimwambie Kaizer wangu wa moyoni utachezea kipondo sasa hivi.
Kaizer ma love am deep in love with you look at what Asprin is doing to me he wants to take me away from you ma swtlo. Here is my promise no matter what happens no matter what asprin will be doing or flirting with me i will not take my heart away from you. You are ma true love honey. I love you and respect you and you have my trust for the rest of your life.
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, thanks kwa kunikumbuka kwenye baraza lako.
Wala hujakosea, hiyo nafasi ya MAMA USHAURI naamini inanifaa kabisaa, kwa umri wangu na ma experience .......aah ahahaha . Naamini tutapeana ma ushauri pale panapohitajika.

Idumu JF
 
thanks but BADILI TABIA na Kongosho wameiona? ngoja nimwambie Kaizer wangu wa moyoni utachezea kipondo sasa hivi.
Kaizer ma love am deep in love with you look at what Asprin is doing to me he wants to take me away from you ma swtlo. Here is my promise no matter what happens no matter what asprin will be doing or flirting with me i will not take my heart away from you. You are ma true love honey. I love you and respect you and you have my trust for the rest of your life.
gfsonwin.... Asprin wala asikubabaishe my swtlo.....am in the driving seat.....and thats it....huyo dawa yakeni Kongosho tu baaas...
 
Last edited by a moderator:
gfsonwin, thanks kwa kunikumbuka kwenye baraza lako.
Wala hujakosea, hiyo nafasi ya MAMA USHAURI naamini inanifaa kabisaa, kwa umri wangu na ma experience .......aah ahahaha . Naamini tutapeana ma ushauri pale panapohitajika.

Idumu JF

you deserve it Mama Ngina. huwa kwangu wewe ni heshima mbele siku zote.
 
Last edited by a moderator:
Ronn M duh! najikuta mwili wote ukisismuka kwa hii nafasi nami nakuweka pasi shaka yoyote. My little loving son is called Gwin and i love him soo much ma dear so you are him now.
love you my son

Love you sweet mom!
 
Last edited by a moderator:
wana jf ni asbh kazi zinaenda na misuli inabana ila naona niwaletee wafuato na nafasi zao katika moyo wangu na maisha yangu,
Smile LEVEL, Eiyer babe S hawa ni wadogo zangu wa moyoni nawapenda sana. and i will always be there for them. Preta charminglady Cantalisia Kaunga @Smillinggairl sweetlady Kipipi Roulette BADILI TABIA Mwanajamii one hawa ni my true female friends. mnanafasi kubwa moyoni mwangu
Zinduna huyu ni kungwi na nyakanga mwenzangu.
AshaDii Mama Ngina hawa ni mama ushauri wenzangu
Kongosho Erotica hawa ni wazee wa site kama mimi so siri zetu tutaambiana chumbani.
Asprin Dark City cartura mito Speaker Mtambuzi BAK Bishanga( ila ingawa nilikusuta sana lkn unathamani sana kwangu) hawa niwazee wenzangu wa baraza.

Mr. Rocky Bazazi boss hawa ni male friends wangu. they are ma true brothers.
Maprucino MziziMkavu hawa ni madaktari wangu
Kaizer huyu ni wa moyo wangu

ambao sijawataja nawapenda sana so niambieni ninyi ni nani kwangu kila mtu kwa cheo chake ama ambaye kaona cheo chake kwangu siyo hicho naye pia aniambie. but real ilove jf.

gfsonwin asante sana kwa kuwa moja ya wazee wenzako.
Ni furaha sana kujua jinsi gani mtu/watu wana kuona katika
mazingira flani,.....japo tupo "mafichoni" huu ni upendeleo mkubwa kwangu.
Asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom