Rais Wa Malofa
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 688
- 796
- Thread starter
- #81
HahaaaNipe namba yake kwanza then nitakwambia nini cha kufanya
HahaaaNipe namba yake kwanza then nitakwambia nini cha kufanya
Nia pekee niliyokuwa nayo ilikuwa kusaidia full stopSasa mwanzoni aliweka ngumu ukamlazimisha, tayari ulikua na nia yako kichwani
Mkuu leo imekuwaje umekuwa #44Duuuh aisee

True storyHao watoto wa chuo wengi wameshaungua, take care![]()
Mblock sasaOption ya kublock ipo
naona anataka kunipa takrima ya kile kiungo pendwa kilichopo mubashara chini ya kitovu chake.
Una umri gani mkuu? Unataka kunambia kwa umri wako hujawahi kukutana na vitu kama hivi?Kuna watu wanajua kutunga nchi hii
Ntajaribu mkuuTunza heshima. mwambie wewe kaka yake kuanzia sasa. You in the future. Anaweza kuja kuwa mtu muhimu kwako.
SawaNia pekee niliyokuwa nayo ilikuwa kusaidia full stop
Kuna yeyote ameandaliwa kuchukua nafasi yangu ya Urais nikiacha Ulofa?Anataka kukupa "thank you"
Nenda kamwambie "you are welcome"
Acha ulofa
usiwaze sana mkuuMkuu leo imekuwaje umekuwa #44![]()
siyo mwanafunzi huyo. Nenda uwanja wa fisi utamkuta akikosa soko saa saba anapiga simu.![]()
![]()
![]()
![]()
huyo binti anaonekana mkarimu sana hadi anataka akulipe fadhila duuh!
Hahahaha nimecheka kwa nguvu aiseeHapo tayari ushapitisha uamuzi hapa unapima upepo tu!.