Sijui nikamle au nimuache

Sijui nikamle au nimuache

Wakuu hapa majuzi kati wakati natoka job naelekea hom majilan fulani hivi ya jion nipo zangu kwa miguu

Mara Kigari kikanipigia honi na kusimama kikitoa ishara niende
Basi nikasogelea hadi hapo
Nilivyo fika pale kuangalia kwenye hiyo gari nimekutana na mmama
Akaniuliza unaelekea wapi nikajibu hom

Akaniomba nimpe kampani kwa kupanda gari yake mzee mzima ni kapanda basi stoli za hapa na pale
Zikaendelea mwisho wa siku tukafika maeneo nikamwambia niachie hapa tukaagana vizuri

Nilichoshangazwa jana katuma text kaka nipigie alafu nikichek namba ngeni nikapiga akajitambulisha mi mtu flan nakuanza kunipa sifa kedeked afu akakata simu

Sikupata muda wa kumuuliza namba umepata wap maana sikuwahi kumpa

Leo tena kanichek kaniuliza uko wapi nikajibu hom akaniambia kaka nina shida nikamuuliza shida gani akasema wewe mtu mzima bhana chukua boda au tax njoo hom utakuja kujua

sasa hapa nipo njia panda sijui niende au nimpotezee ?

Kwenu wakuu


Wazee wa uzi bila picha haunogi ila Baadhi ya text- nimefutaView attachment 2047675
sinza kuna dada alikua anakula mchongo na wafiraji anajilengesha kwako kama ivo mkifika ghetto mkivua nguo tu zinaibuka njemba zinadai zimekufumania na mke wao wanakubandua, kuna mwamba mmoja aliponea chupuchupu baada ya huyo dada kugundua huyo mshkaji ni kaka wa rafiki yake, dada akamchana acha kupenda maisha ya mteremko utafirwa mdogo wangu vaa fasta utoke, ile jamaa anatoka akakutana na njemba kwenye korido za gesti zikamtolea macho ile kiroho mbaya.
 
sinza kuna dada alikua anakula mchongo na wafiraji anajilengesha kwako kama ivo mkifika ghetto mkivua nguo tu zinaibuka njemba zinadai zimekufumania na mke wao wanakubandua, kuna mwamba mmoja aliponea chupuchupu baada ya huyo dada kugundua huyo mshkaji ni kaka wa rafiki yake, dada akamchana acha kupenda maisha ya mteremko utafirwa mdogo wangu vaa fasta utoke, ile jamaa anatoka akakutana na njemba kwenye korido za gesti zikamtolea macho ile kiroho mbaya.
Kamwe usikubali kwenda zizi la jike lazima yatatokea ya kukudhalilish tu, mwanaume ndo unapanga uwanja na unamleta kimagendo yani mkishafika smu off
 
sinza kuna dada alikua anakula mchongo na wafiraji anajilengesha kwako kama ivo mkifika ghetto mkivua nguo tu zinaibuka njemba zinadai zimekufumania na mke wao wanakubandua, kuna mwamba mmoja aliponea chupuchupu baada ya huyo dada kugundua huyo mshkaji ni kaka wa rafiki yake, dada akamchana acha kupenda maisha ya mteremko utafirwa mdogo wangu vaa fasta utoke, ile jamaa anatoka akakutana na njemba kwenye korido za gesti zikamtolea macho ile kiroho mbaya.
Kwa hiyo huu ni mchongo sio
 
Kamwe usikubali kwenda zizi la jike lazima yatatokea ya kukudhalilish tu, mwanaume ndo unapanga uwanja na unamleta kimagendo yani mkishafika smu off
Pengine anataka niwe mme wake si unajua wengine singooo mazaa
 
Wakuu hapa majuzi kati wakati natoka job naelekea hom majilan fulani hivi ya jion nipo zangu kwa miguu

Mara Kigari kikanipigia honi na kusimama kikitoa ishara niende
Basi nikasogelea hadi hapo
Nilivyo fika pale kuangalia kwenye hiyo gari nimekutana na mmama
Akaniuliza unaelekea wapi nikajibu hom

Akaniomba nimpe kampani kwa kupanda gari yake mzee mzima ni kapanda basi stoli za hapa na pale
Zikaendelea mwisho wa siku tukafika maeneo nikamwambia niachie hapa tukaagana vizuri

Nilichoshangazwa jana katuma text kaka nipigie alafu nikichek namba ngeni nikapiga akajitambulisha mi mtu flan nakuanza kunipa sifa kedeked afu akakata simu

Sikupata muda wa kumuuliza namba umepata wap maana sikuwahi kumpa

Leo tena kanichek kaniuliza uko wapi nikajibu hom akaniambia kaka nina shida nikamuuliza shida gani akasema wewe mtu mzima bhana chukua boda au tax njoo hom utakuja kujua

sasa hapa nipo njia panda sijui niende au nimpotezee ?

Kwenu wakuu


Wazee wa uzi bila picha haunogi ila Baadhi ya text- nimefutaView attachment 2047675
Tupe mrejesho je, ulienda? Na kama ulienda je, ulikanyaga? Na ka hukukanyaga kwa nini? Na kama ulikanyaga ilikuwaje? Au kama hukuenda kwa nini?
 
Back
Top Bottom