Sijui nikamle au nimuache

Sijui nikamle au nimuache

Sikiaa wewee usiendee mwambie aje yeye utakuja kunishukuru never ever try kwenda kwa mwanamke usijaribu mkuu,mwambie aje au mkutane hotel tumia kinga au mpime, utatolewa figo kizembe boya we
Nimempiga Kizinga katiki
 
Wakuu hapa majuzi kati wakati natoka job naelekea hom majilan fulani hivi ya jion nipo zangu kwa miguu

Mara Kigari kikanipigia honi na kusimama kikitoa ishara niende
Basi nikasogelea hadi hapo
Nilivyo fika pale kuangalia kwenye hiyo gari nimekutana na mmama
Akaniuliza unaelekea wapi nikajibu hom

Akaniomba nimpe kampani kwa kupanda gari yake mzee mzima ni kapanda basi stoli za hapa na pale
Zikaendelea mwisho wa siku tukafika maeneo nikamwambia niachie hapa tukaagana vizuri

Nilichoshangazwa jana katuma text kaka nipigie alafu nikichek namba ngeni nikapiga akajitambulisha mi mtu flan nakuanza kunipa sifa kedeked afu akakata simu

Sikupata muda wa kumuuliza namba umepata wap maana sikuwahi kumpa

Leo tena kanichek kaniuliza uko wapi nikajibu hom akaniambia kaka nina shida nikamuuliza shida gani akasema wewe mtu mzima bhana chukua boda au tax njoo hom utakuja kujua

sasa hapa nipo njia panda sijui niende au nimpotezee ?

Kwenu wakuu


Wazee wa uzi bila picha haunogi ila Baadhi ya text- nimefutaView attachment 2047675

TCRA huko washamshikisha Polepole ADABU

Kifupi ni kwamba, unaweka rinda lako rehani
 
Back
Top Bottom