Sijui nichague wapi

Sijui nichague wapi

Ha haaaa,sipend kuomba nlizidiwa na shida tu ndo mana nkaomba hiyo kdg

Siku nyingine ukiwa na shida ya hela ndogo kama hiyo ni afadhali ukampiga kirungu mwanaume ambaye unajua anakutolea macho..
 
mwanaume wako WA 5000 sio mwelewa au la co situational!!!
Hata asingekua na hyo ela c angetumia upole tuu kukueleza!!!
Misitu mingi inateketea kwa moto kwa sababu ya kudharau kanjiti kadogo ka kiberiti!!!
Nakusihi jiridhishe kwanza, pay time then you will have to conclud at last!!!
Amina,niutaufanyia kazi ushauri wako
 
Hahahahaa huyo wa buku tano kanichekesha hatari...ni hapo tu nimesoma huko kwengine hata sijasoma
 
Umejitahidi kujifanya uonekane kuwa Wewe ni mwema Wakati ni mpenda hela namba moja

Mapenzi ni furaha Kwahyo kama unapenda hela na jamaa hakupi ina maana hupati furaha basi achana naye

Lakin hakikisha kuwa Huyo mpya ni mtoa hela Sababu ndio unachokitaka Kutoka kwa mpenzi.

Conclusion:
Kujitambua ni suluhisho la mengi. Tambua kuwa Wewe ni mpenda hela na Si mpenda mapenzi
 
Hahahahaha.Aiseee ila kuna watu wachoyo yani elfu tano akamind?Duh???Pole sana
 
Umejitahidi kujifanya uonekane kuwa Wewe ni mwema Wakati ni mpenda hela namba moja

Mapenzi ni furaha Kwahyo kama unapenda hela na jamaa hakupi ina maana hupati furaha basi achana naye

Lakin hakikisha kuwa Huyo mpya ni mtoa hela Sababu ndio unachokitaka Kutoka kwa mpenzi.

Conclusion:
Kujitambua ni suluhisho la mengi. Tambua kuwa Wewe ni mpenda hela na Si mpenda mapenzi

mpenda hela ataomba elfu5?
Binti wa watu alizidiwa.
Mjifunze kuhudumia jamani, siyo lazima muombwe hela.
Mtu anaomba elf5 ushamuweka kwenye kupenda hela khaaa.
 
Back
Top Bottom