Sijui nichague wapi

Sijui nichague wapi

imaney

akhuyii Uta !! nakutumia elfu 10, umpatie Imo ...tena umpeleke 5 na 5 za usafiri...hawezi kukuita Mbakhili !! duuuh hajaona ukarimu wako..

Hahaha mkuu Zamiluni Zamiluni mtu kama huyu unamuitikia tu thn unamuonyesha suprise moja matata sana. Yeye si kaomba 5,000? Unaomuongezea sifuri mbili....
 
Last edited by a moderator:
Inamaana kazi huna kiasi ambacho unaomba elfu 5 mi nilitegemea kama unaomba pesa angalau kuanzia 50,000/- lakin hiyo 5 ndo maana kadharau
 
Kama unataka hela nenda kajipange barabarani uuze hilo papuchi ila kama unataka mpenzi njaa iweke mfukoni upe moyo nafasi yake.....
 
Inamaana kazi huna kiasi ambacho unaomba elfu 5 mi nilitegemea kama unaomba pesa angalau kuanzia 50,000/- lakin hiyo 5 ndo maana kadharau

Ningeomba elfu 50 angeweka na mabango barabaran, mbahili wa karne
 
Inamaana kazi huna kiasi ambacho unaomba elfu 5 mi nilitegemea kama unaomba pesa angalau kuanzia 50,000/- lakin hiyo 5 ndo maana kadharau

Wewe huoni huyo mwanaume ambae anauchuna mpk gf wake anakosa elfu tano ana matatizo nae?...sie ni watu wa kuhudumiwa ati....na hii inafanywa automatikale,sio amri bali ni Wajibu.
 
Back
Top Bottom