Sijui nichague wapi

Sijui nichague wapi

Miaka mine?kweli wewe mvumiliv na unafaa,hustahili kupata mtu wa kukuchezea lakin mtu anayejua thaman yako.Huyo aliyekufokea kwa ajili ya elf5 hajui thamani yako ingawa unaweza kujishusha na kuonekana 'cheap' kwa kuomba elfu 5 anza






kuomba kuanzia elfu10 na kuendelea.Achana



nae huyo taratibu huku ukiendelea kumsoma


huyo mpya.Lakini usijaribu kuwavulia chupi hata


mmoja mpaka uhakikishe ni mtu sahihi
kwako.Take care!
thank u
 
Wee punga achana na mm,km huna ushaur kakojoe ulale,kibamia ww
Ushauri wangu ni kuwa huyo jamaa yako wa kwanza....alipata hisia mbaya ulipo muomba hela alidhani nyie ndio wale mademu wa mizinga...lakini mimi binafsi naamini mwanaume anayekupenda kwa dhati hawezi akaionea ubahiri shilingi elfu tano.....wapo watu wanahongwa mpaka magari........mimi nakushauri tulia kwanza yupo ambaye anakupenda kwa dhati...wakati ukifika atakuja....tu....VUTA SUBIRA....DADA
 
Ushauri wangu ni kuwa huyo jamaa yako wa kwanza....alipata hisia mbaya ulipo muomba hela alidhani nyie ndio wale mademu wa mizinga...lakini mimi binafsi naamini mwanaume anayekupenda kwa dhati hawezi












akaionea ubahiri shilingi elfu tano.....wapo watu




wanahongwa mpaka magari........mimi









nakushauri tulia kwanza yupo ambaye








anakupenda kwa dhati...wakati ukifika




atakuja....tu....VUTA SUBIRA....DADA
Asante mkuu
 
mpenda hela ataomba elfu5?
Binti wa watu alizidiwa.
Mjifunze kuhudumia jamani, siyo lazima muombwe hela.
Mtu anaomba elf5 ushamuweka kwenye kupenda hela khaaa.

Soma between the lines my dear,Hiyo buku 5 kaweka ili apate huruma tu Lakini kama utasoma vizuri huenda aliomba zaidi ya hiyo

Huyu anaonekana ni mpenda hela ukisoma vizuri
 
Soma between the lines my dear,Hiyo buku 5 kaweka ili apate huruma tu Lakini kama utasoma vizuri huenda aliomba zaidi ya hiyo

Huyu anaonekana ni mpenda hela ukisoma
vizuri
haya Nabii, unaonesha wanifaham kuliko Nnavyojifaham
 
Kweli machangudoa wana mbinu nyingi sana.....inawezekana huyu ni mmoja wao......MIZINGA STYLE......
Kiongozi, hawa watizame tu hivi hivi....!
Niliwahi kupanga nyumba moja na mdada huyo, alikuwa balaa.Tango, Badoo, Whatsapp, facebook, LinkedIn, Skype...nk alikuwa akiwapanga wanaume na kuwapiga mizinga iliyoshiba...aaah..yule dada ni kiboko.
Na hapa mjini wadada baadhi ndio lifestyle yao..! mie hadi nithibitishe kuwa niko mwenyewe, azawaiz coin yangu haioni..!
 
Kiongozi, hawa watizame tu hivi hivi....!
Niliwahi kupanga nyumba moja na mdada huyo, alikuwa balaa.Tango, Badoo, Whatsapp, facebook, LinkedIn, Skype...nk alikuwa akiwapanga wanaume na kuwapiga mizinga iliyoshiba...aaah..yule dada ni kiboko.
Na hapa mjini wadada baadhi ndio lifestyle yao..! mie hadi nithibitishe kuwa niko mwenyewe, azawaiz coin yangu haioni..!
Eli79 katika ubora wake
 
Last edited by a moderator:
sasa love unataka mchuchu au unataka pesa love?
ka ni cash fungua bzness,,
ka ni ile issue umeimiss miaka mi4 we jitupie mchuchu usepe
,,kalibu tena love
 
Kiongozi, hawa watizame tu hivi hivi....!
Niliwahi kupanga nyumba moja na mdada huyo, alikuwa balaa.Tango, Badoo, Whatsapp, facebook, LinkedIn, Skype...nk alikuwa akiwapanga wanaume na kuwapiga mizinga iliyoshiba...aaah..yule dada ni kiboko.
Na hapa mjini wadada baadhi ndio lifestyle yao..! mie hadi nithibitishe kuwa niko mwenyewe, azawaiz coin yangu haioni..!
Mkuu karne hii hakuna papuchi ya pekee yako....yako ukiwa nayo kitandani tu.....akikupa kisogo.....watu wanadandia gari.......ndio maana now days papuchi hazina ladha yaani kama unakunywa maji vile.......imagine unakuta papuchi moja per day inameza madushe karibia manne je utamu utatoka wapi.....?????........ndio maana naonaga bora nipige punyeto tu muda mwingine......mkuuu.....
 
Hakuna mume apo dada ameshindwa kusaidia tens ukiwa natatizo si kama unamuomba kilasiku uyo sie inaelekea atamapenzi ya dhati hana yee anataka amwage aishie lakini wazo lakuwa naww or kujua km unamahtaji hakna mijianadume dizain hiyo ndio yale yanayomegewa mpotezee
 
Back
Top Bottom