Sijui nichague wapi

Sijui nichague wapi

Hakuna mume apo dada ameshindwa kusaidia tens ukiwa natatizo si kama unamuomba kilasiku uyo sie inaelekea atamapenzi ya dhati hana yee anataka amwage aishie lakini wazo lakuwa naww or kujua km unamahtaji hakna mijianadume dizain hiyo ndi

o yale yanayomegewa mpotezee
Kweli hanifai huyu
 
Mkuu karne hii hakuna papuchi ya pekee yako....yako ukiwa nayo kitandani tu.....akikupa kisogo.....watu wanadandia gari.......ndio maana now days papuchi hazina ladha yaani kama unakunywa maji vile.......imagine unakuta papuchi moja per day inameza madushe karibia manne je utamu utatoka wapi.....?????........ndio maana naonaga bora nipige punyeto tu muda mwingine......mkuuu.....

Pole unaonekana umekata tamaa maana u r dating a -----
 
umepata mwingine......ina maana akati uko na huyo wa buku 5 bado uliendelea kutafuta mwingine sasa umempata,au yeye ndo kakupata wewe.
 
HODII,mimi ni msichana mwenye umri wa miaka kadhaa,yaani umri wangu unaruhusu kuolewa, niliwahi kuumizwa na mapenzi kiasi kwamba sikuwaza kama nitakuja kutamani kuolewa.

Miaka kadhaa imepita karibu minne sijafanya ngono, sasa nimechoka, natamani mwenza angalau na mimi nipate mfariji, sasa nimepata boyfriend hajajitambulisha home siwezi kumuita mchumba.

Tatizo huyu kaka hanijali hata kidogo niliwahi kupata tatizo nikamuomba elfu 5 tu ya kitanzania yaani alinifokea kama mtoto mdogo eti mimi napenda pesa, sasa nikamchoka.

Nimepata mwingine bado hatujazoeana, sielewi kama na yeye mbahili au vp, je ni sahihi kumuacha yule wa kwanza na kuwa na huyu mpya au nimefuata matatizo zaidi?

Naombeni ushauri
njoo pm nikunong'oneze
 
HODII,mimi ni msichana mwenye umri wa miaka kadhaa,yaani umri wangu unaruhusu kuolewa, niliwahi kuumizwa na mapenzi kiasi kwamba sikuwaza kama nitakuja kutamani kuolewa.

Miaka kadhaa imepita karibu minne sijafanya ngono, sasa nimechoka, natamani mwenza angalau na mimi nipate mfariji, sasa nimepata boyfriend hajajitambulisha home siwezi kumuita mchumba.

Tatizo huyu kaka hanijali hata kidogo niliwahi kupata tatizo nikamuomba elfu 5 tu ya kitanzania yaani alinifokea kama mtoto mdogo eti mimi napenda pesa, sasa nikamchoka.

Nimepata mwingine bado hatujazoeana, sielewi kama na yeye mbahili au vp, je ni sahihi kumuacha yule wa kwanza na kuwa na huyu mpya au nimefuata matatizo zaidi?

Naombeni ushauri

Hahahaa kwel unapenda pesa ukamuacha mwenzako kwa sabababu alikunyima 5000/=
 
Tafuta wazee ndo wajua kuhonga vidumu maana wabahili sana
 
utaombaje hela ndoogo hivyo???

ata mimi ningekutusi..unapenda hela

omba laki mbili kuendelea..adi apate kigugumizi
 
pole mpenzi,i wish niwe wa kwanza kuonja hiyo bikra,much love

Hahah yani ulivyoona birika tu umepagawa had I unamuita mupenz sikuwezi, na akikupa uwe unamtoa zaidi ya hio buku tano
 
Hahah yani ulivyoona birika tu umepagawa had I unamuita mupenz sikuwezi, na akikupa uwe unamtoa zaidi ya hio buku tano

Hahaha hujui nikitoa bikra atanikumbuka sana
 
JIANDAE kuumizwa tena....

Hehehehehe ulimuomba elfu 5 akakufokea hahahaha duuuhhh...
Huyo kwanza ni bahili
Pili, anataka akubandue tuu, jiandae hata chupi ya zawadi hatokununulia
tatu...Kwanza wewe umemuomba mwanaume mme juana kwa muda gani?
Nne...Huyo wa pili nahisi yatakuwa ni yale yale tuu...atakubandua mwisho atakuacha tuu
Tano....Kama waweza jituliza jitulize kama umeshauchoka upweke kubali tuu hali ya kuumia...ndio maisha ya MUJINI




HODII,mimi ni msichana mwenye umri wa miaka kadhaa,yaani umri wangu unaruhusu kuolewa, niliwahi kuumizwa na mapenzi kiasi kwamba sikuwaza kama nitakuja kutamani kuolewa.

Miaka kadhaa imepita karibu minne sijafanya ngono, sasa nimechoka, natamani mwenza angalau na mimi nipate mfariji, sasa nimepata boyfriend hajajitambulisha home siwezi kumuita mchumba.

Tatizo huyu kaka hanijali hata kidogo niliwahi kupata tatizo nikamuomba elfu 5 tu ya kitanzania yaani alinifokea kama mtoto mdogo eti mimi napenda pesa, sasa nikamchoka.

Nimepata mwingine bado hatujazoeana, sielewi kama na yeye mbahili au vp, je ni sahihi kumuacha yule wa kwanza na kuwa na huyu mpya au nimefuata matatizo zaidi?

Naombeni ushauri
 
Huyo unayemuomba elfu 5000 anakufokea ni wanini sasa na wewe unamlaumu mwenzako?

Je angeombwa zaidi....Twu mbaka !!
Huyo hata ukiwa katika ule mzunguko anaweza kukununulia............. zikusitiri !!





Hahahaa kwel unapenda pesa ukamuacha mwenzako kwa sabababu alikunyima 5000/=
 
sasa ukiacha la kukunyima elfu 5, ana mapenzi mengine, wengine ubahil hulka yao unamfundisha with tyme, na huyo mpya yupo wakati wa zamani hajaachwa au
 
Ahahahahahaa Hebu jaribu huyo mpya ukipata majibu njoo hapa utuombe ushauri huenda tukapata Jibu lako
 
Back
Top Bottom