Ushauri wangu
1. Cheki DNA unaweza kuwa unaumiza kichwa kulea watoto wa wanaume wenzio..kama kipimo kitaonyesha watoto sio wako..mpe mama yao awapeleke kwa baba zao.
2. Usimrudie...embu fikiria mtu anayetembea na wanaume ovyo..hizo ni bidii za kutafuta ngoma..sasa huo utu wake unatoka wapi..achana nae.
3. Maumivu ya moyo yapo na ni kwa sababu mlikuw wapenzi ..yataisha..
4. Kama DNA itaonyesha hao ni watoto wako weka utaratibu mzuri ,wa malezi..kama wana jf walivyoshauri.lakini yeye asihusike..atawapa maneno mabaya watoto..na hiyo itawaathir sana.
5. Hili ndio lingetangulia point zote hapo juu..muombe sana Mungu akuongoze
1. Cheki DNA unaweza kuwa unaumiza kichwa kulea watoto wa wanaume wenzio..kama kipimo kitaonyesha watoto sio wako..mpe mama yao awapeleke kwa baba zao.
2. Usimrudie...embu fikiria mtu anayetembea na wanaume ovyo..hizo ni bidii za kutafuta ngoma..sasa huo utu wake unatoka wapi..achana nae.
3. Maumivu ya moyo yapo na ni kwa sababu mlikuw wapenzi ..yataisha..
4. Kama DNA itaonyesha hao ni watoto wako weka utaratibu mzuri ,wa malezi..kama wana jf walivyoshauri.lakini yeye asihusike..atawapa maneno mabaya watoto..na hiyo itawaathir sana.
5. Hili ndio lingetangulia point zote hapo juu..muombe sana Mungu akuongoze