Sijui nianzie wapi?

Ushauri wangu
1. Cheki DNA unaweza kuwa unaumiza kichwa kulea watoto wa wanaume wenzio..kama kipimo kitaonyesha watoto sio wako..mpe mama yao awapeleke kwa baba zao.

2. Usimrudie...embu fikiria mtu anayetembea na wanaume ovyo..hizo ni bidii za kutafuta ngoma..sasa huo utu wake unatoka wapi..achana nae.

3. Maumivu ya moyo yapo na ni kwa sababu mlikuw wapenzi ..yataisha..

4. Kama DNA itaonyesha hao ni watoto wako weka utaratibu mzuri ,wa malezi..kama wana jf walivyoshauri.lakini yeye asihusike..atawapa maneno mabaya watoto..na hiyo itawaathir sana.

5. Hili ndio lingetangulia point zote hapo juu..muombe sana Mungu akuongoze
 

ebu toa historia ya jinsi ulivyompata huyo mkeo.. kwa kifupi
 
Unaweza msamehe ila ukaamua kutoshare tendo, mkawa mnalea watoto wenu kila mtu chumba chake ila matumizi ya nyumbani hakikisha unatoa. watu waelewa wanaishi ivo ili kuwatunza watoto, japo yataka moyo

mmh ushauri mgumu mno
 
hapo ndipo mnaponikatisha tamaa na mimi kuoa aisee, maana na haya ya rafiki zangu ninayoyaona majanga, wacha niendelee kuwa hivihivi zikitokea nadinya au bora nichukue mwanamke take away, ukimcoka unatuma kama chupa tu, kisha mwenzako anakuja kuiokota.
 

you made my night better
 

maya amempenda sir chief akiwa na watoto watatu na ijumaa wanafunga ndoa. na maya atajifungua mapacho soooo jiongeze. ila pole inauma
 

hili la DNA mnataka jamaa afe haraka aisee
 
hapana , nipo naye mimi. kwa hari ilivyokua haikua rahisi hata kumuacha huyo mtoto kwa mama yake kwani kulikua na kila dalili ya murder.

huyo mama sio mlezi wa watoto
hivi unaeza kumuacha mtoto wa miezo tisa kwa mme?
huyo km una vimali kidogo mrudie akuue hapo hamna mke niamini mimi
mtoto wa miezi tisa,una mume then unagongwa nje???we sio mzima weee
mnisamehe wadau nachukia sana mwanandoa kuzini na dhambi yake inahtaji kipaji kusamehe
 
mmh ushauri mgumu mno

hakuna ugumu hapo, ni maamuzi tu. kuliko kuachana wakae ivo hadi mtoto mdogo ajitambue then bidada asepe. habari ya kurudiana mimi naona UKIMWI live, mwanamke akizoea kutoka nje inahitaji nguvu ya ziada kumfanya aache hiyo tabia vinginevyo, haachi.
 
Asante, nitaufanyia kazi ushauri wako.
ila swala bado lipo pale pale, baada ya hayo yote then what shall I do? should I sacrifice my happiness so that my children are happy? or should I keep on searching till god say yes? totally confused.

MUNGU ni mwema hakupi jaribu bila ufumbuzi
sasa hivi focus kwa watoto kwanza huyo mke tupa kule wanao sio wa kwanza wala mwisho kulelewa na mzazi mmoja ht humu tupo wengi tumelelewa single parent famy na tumekua huyo mkeo hujitakii mema wewe kaka
 
Inawezekana my dia
Mi ndugu yangu walifanya hivyo though at the end of the day waliachana

ht mie anko yangu na anti angu walitengana vyumba two yrs ila mwisho wametengana toka 2002 hadi leo
so ht hao wakirudiana na hvyo huyo mdada ana mdudu wa chini ndo wakatengana vyumba siku mbili nyingi
ataleta thread hapa
 
Mungu atuisaidie. Una mtt wa
Miezi 9 inacheat?
 
Kama utaamua kumrudisha nyumbani mkeo, muhimize kuenda kwenye nyumba za ibada.
Pole sana
 
Hiyo 6&7 hebu rudia kwanza wewe mwenyewe.
Yaani unawaza kama ukioa huyo mwanamke akulelee watoto wako ila wa kwake watakua mzigo???

Suala la kuoa hapo bora ulifute tu. Kama itakulazimu sana kuwa na mke rudiana na mama watoto wako.
 
Mkuu dhambi ya uzinzi haisameheki huyo kashakua adui yako hashindwi hata kukuua kua nae makini sana endapo atarudi wahenga walisema mwanamke akiwa na hawara hawezi kuacha,nahisi maumivu yako moyoni mwangu,!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…