karume kenge
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 568
- 421
Habari zenu wakuu,
Mimi kifupi hua najishangaa sana najiona labda niko tofauti na wenzangu, sijali hata siku yangu ya kuzaliwa na mara nyingi hua inapitiliza hata bila kujielewa sina starehe yeyote sio mtu wa disco, beach, sinywi pombe, sivuti sigara, sipendi kula kula sipendi kila papuchi.
Kifupi sijui napenda nini kunasiku jamaa yangu mmoja alinipeleka sehemu walikuwepo hawa wanamuziki wa kizazi kipya ukweli niliyoyaona nikaapa sirudi tena ni upuuzi mtupu.
Nikawa nawaza naona wenzangu wanacheza na kufurahi, nikajiulizaaa pesa nitoe mimi na ku cheza nicheze mimi huku si kujichosha bure, bado tunaambiwa mikono juu mikono kama mateka wa kivita dah iliniuma saana.
Mara tuimbe wote kwa pamoja sasa wewe msanii au sisi wasanii iliniuma sana kukosa usingizi wangu, sijawahi kurudi tena.
Sasa wadau sijui mimi mshamba au mana sisi wasukuma huitwa washamba kila sehemu.
Mimi kifupi hua najishangaa sana najiona labda niko tofauti na wenzangu, sijali hata siku yangu ya kuzaliwa na mara nyingi hua inapitiliza hata bila kujielewa sina starehe yeyote sio mtu wa disco, beach, sinywi pombe, sivuti sigara, sipendi kula kula sipendi kila papuchi.
Kifupi sijui napenda nini kunasiku jamaa yangu mmoja alinipeleka sehemu walikuwepo hawa wanamuziki wa kizazi kipya ukweli niliyoyaona nikaapa sirudi tena ni upuuzi mtupu.
Nikawa nawaza naona wenzangu wanacheza na kufurahi, nikajiulizaaa pesa nitoe mimi na ku cheza nicheze mimi huku si kujichosha bure, bado tunaambiwa mikono juu mikono kama mateka wa kivita dah iliniuma saana.
Mara tuimbe wote kwa pamoja sasa wewe msanii au sisi wasanii iliniuma sana kukosa usingizi wangu, sijawahi kurudi tena.
Sasa wadau sijui mimi mshamba au mana sisi wasukuma huitwa washamba kila sehemu.