Si kila anaefanya hayo ana pesa, ni mpangilio tu wa maisha alioamua kuufuata mtu. Na ndio sababu wengi utawasikia wakilalamika kuwa wamefulia baada ya sikukuu, sherehe ya birthday au kukesha Club.Sababu inaonekana unakimbia sehemu za matumizi
Wanawake wa mjini unawakamata hata kwenye traffic lights, mradi tu usafiri wako uwe unaeleweka na uwe unajua lugha za alama.kwa hali hii mademu wote wazuri wa mjini utaishia kuwaita shemela
Halafu unakuta mtu mishipa ya shingo imemtoka anafuatilia matamasha ya muziki, kila sehemu anataka aende. Na akishindwa kwenda, atakavyougua sasa!Hayo mambo hayana starehe! Ni utumwa flani hivi ambao wanaotumikishwa hawajui kama wapo utumwani.Hongera kwa kuwa huru.