Mtu Wa Mungu Kutoka Yuda
Senior Member
- Feb 1, 2023
- 101
- 244
Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI