Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 20,323
- 62,205
Huyu kweli ni Msenge.nyajiHuyo hajazira, ka"zila".
Huyo ni zaidi ya junior, ni msengenyaji.
Huyu kweli ni Msenge.nyajiHuyo hajazira, ka"zila".
Huyo ni zaidi ya junior, ni msengenyaji.
una kipaji cha kutembea kwenye majumba ya watu aisee.Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
unatafuta nini kwa watu mkuu wangu🙄Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Kuna makabila watoto wanatendewa kama mifugo mmoja wapo ni wasukuma nahisi unatokea huko.Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Mtoto wa kiume una zila?? Bila shaka wanakudelicious
Pwani huwa tunasema, ukiona mtu "kiguu na njia" vijumbani mwa watu, elewa kuwa huyo ni msengenyaji na fataani.unatafuta nini kwa watu mkuu wangu🙄
unafuata nin kwa watu tulia na mambo yakoNilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Kila kitu unazila wee VIP utabaki pekee akoNilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
ni kwamba umevimbiwa au unaumwa? Hiki ulichoandika ni kitu gani. hiyo akili yako imejaa uchafuNilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Hizo familia ndizo zinazolea mashogaNilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.
Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.
Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.
JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Kuzila🤣Hizo nyumba zote unaenda kufanya nini?