Sijui ni ujinga au uzungu mwingi

Sijui ni ujinga au uzungu mwingi

Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.

Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.

Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.

JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
una kipaji cha kutembea kwenye majumba ya watu aisee.
 
Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.

Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.

Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.

JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
unatafuta nini kwa watu mkuu wangu🙄
 
Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.

Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.

Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.

JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Kuna makabila watoto wanatendewa kama mifugo mmoja wapo ni wasukuma nahisi unatokea huko.
 
Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.

Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.

Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.

JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
unafuata nin kwa watu tulia na mambo yako
 
Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.

Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.

Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.

JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Kila kitu unazila wee VIP utabaki pekee ako
 
Ukitaka haya yasikukere mkuu ni wewe kutulia nyumbani kwako! Mimi mwenyewe kwa vile sipendagi ujinga nina miaka sijakaa kwa zaidi saa 3 labda kwenye msiba! Nikija Dar ndugu wanalalamila eti siendi kuwasalimia namaliza shughuli zangu tu na kurudi! Kumbe hawajui mimi sipendi huo ujinga wa kuita watoto junior huku wanafanya ujinga!
 
Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.

Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.

Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.

JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
ni kwamba umevimbiwa au unaumwa? Hiki ulichoandika ni kitu gani. hiyo akili yako imejaa uchafu
 
Kabla hatujaendelea Kaoshi ndio kitu gani?!
 
nyumbani kwangu nipo na boxer mda wote njee ukipiga chapo kutokea inje ya fensi shauri yako...kama mgeni kaja ntabaki kifua wazi na suruali chini mazoea tu maana hata mshua wangu ndani ni taulo na pensi toka tunakuwa tunamwona hivyo akiwa ndani..
 
Nilienda nyumba moja Nikakuta wanavyolea watoto wao mpaka nikazila nikaondoka eti mtoto kapanda juu ya meza Ya kioo Baba yake yule mtoto Sijui ni uzungu badaa kumtoa mtoto Juu ya meza eti "junior nooo don't do this sikununulii ice cream nilivyo ona Hayo nikazila nikaondoka kimya kimya.

Nyingine tena Nilialikwa nyumba fulani ya rafiki yangu eti Yule binti yao mda wote tu wanaitana daddy and mom yani neno la kiswahili baba Au mama ulisikii ilihali wakishatamka hivyo hakuna kiingereza kinacho endelea zaidi ya hapo yani kiingereza wanachojua ni mom and daddy Afu Ni bint Mkubwa anae ita hivyo miaka kama 27 hivi. Nako nikazila nikaondoka kimya kimya tu.

Ikatokea tena Nilienda pia nyumba fulani eti baba mtu MZIMA mwenye nyumba kabisa jioni kaka sebuleni amevaa kaboksa na kaoshi tena Mbele ya watoto nayo nilizila nikaondoka.

JE NI UJANJA AU MIMI NDIO SIELEWI
Hizo familia ndizo zinazolea mashoga
 
Nimesoma huu uzi nikakuta pumba tupu nimezila  naondoka
 
Utakuta apo Baba enzi zake za utoto nae alikua Wa kishua Kila kitu house girl anamfanyia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom